Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Dada Maua asikilizwe, ana kitu🤣🤣National Anthem Kuna hoja hapa😂🤣??
Dada Maua asikilizwe, ana kitu🤣🤣National Anthem Kuna hoja hapa😂🤣??
hapana sijawai toka na mwana jf hata mmoja ...

ua la kipekee kashakusanua 



kipindi kile ilikuwa rahaa... ebu ijuduie basi wapendwa wetu 🙂🙂Walai kipindi kile ndio ingekua Saivi nahisi ningeshakimbia id yangu 🤠🤠🤣! Zile naked 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!! 🤠😁😁😁!
Kadai ni uongoo ila kiukweli nimeoewa na mtu huo umbeya***** kumbeeee!! Afu anajifanya baba askofu kumbe ndiye lucifer mwenyewe!!!! Maua shogaangu wewe ni kiboko
Ahsantreeeeeeee kwa kunifungulia code
huo mkeka batili 😂😂😂Dada Maua asikilizwe, ana kitu🤣🤣
Kumbuka yule dada wa jirani mlikuwa mnamwita tunda ukamwomba gemu ukapewa mkaanza mahusiano right?? Huku ukadai unataka kubadili mboga yule demu uliyempata humu akawa anakuja jioni halafu baadae tunda akajua ukala kichapo huyu dada wa jf akakasirika ndio ukatemwa mazima . Kumbuka sakata hilo tena ulimpata kigafla tu alikufuata inbox



Hapo chachaNational Anthem una lipi la kusema 🤣🤣 etiUnajua hili gazeti ni lasiku nyingi ndio maana humjui huyu mtu umeamua kumweka back list , ila huyu dada alikufaa sana nipo serious ndio maana wanakuita malaya
Badae kidogo, saivi nipo kwa boda bodaEmbu tupia nyingine basi 😄😋
weyeer acha kula tango pori banaaa 😅😅😅***** kumbeeee!! Afu anajifanya baba askofu kumbe ndiye lucifer mwenyewe!!!! Maua shogaangu wewe ni kiboko
Ahsantreeeeeeee kwa kunifungulia code
Sikia tuliwahi chart inbobo kuhusu jambo la hela so kakwenye mstari@national anthem unasoma au??wewe utafanya watu tuogope kuchat humu
Umedate na mtu humu kipindi kifupi tu kabla tunda hajahama




maua waonyeshe, nasema waonyesheAisee nimecheka sana🤣🤣🤣huo mkeka batili 😂😂😂
😅😅😅 hakuna ukweli hapo .. mie sijawai date na mtu humu.. kwanza warembo wote humu wamefunga pm.. naanzaje sasa tupa ndoanaNational Anthem una lipi la kusema 🤣🤣 eti
Mna elekea kumuona mgonjwa 🤣😂Badae kidogo, saivi nipo kwa boda boda
Me naenda kulewa na baby wangu🤣🤣Mna elekea kumuona mgonjwa 🤣😂
Sikia bhana natania hebu njoo PM Unileezee jambo au nifuree sasa hiviweyeer acha kula tango pori banaaa 😅😅😅
Ok hapo sawa alafu mwambie aende taratibu mshikilie vizuri sawa 😄Badae kidogo, saivi nipo kwa boda boda
😅😅😅 kaisha pigwaa tayari na alie mpa info pamoja na muhalili wagazeti..Aisee nimecheka sana🤣🤣🤣
Sema nini, aliyempa info em akamuulize vizuri itakua alichanganya majina
Upo Kama Mimi😂🤣😁😅😅😅 hakuna ukweli hapo .. mie sijawai date na mtu humu.. kwanza warembo wote humu wamefunga pm.. naanzaje sasa tupa ndoana
🤣🤣🤣 Hatariii😅😅😅 kaisha pigwaa tayari na alie mpa info pamoja na muhalili wagazeti..