Sasa huyu nikimaliza tu kutoa umbeya wake ananitoa sadaka , ila nakupa pakuanzia tu nawewe umalizie alipata demu humu nanimtu mzima kiasi anakatoto kake kazuri , kakike wakaanza kudate na inshort huyu dada alikuwa kwa
National Anthem si yule kademu kake akajua akafanya vurugu huyu dada wa jf akazira hadi naleo , mbaya zaidi kale kademu muda sio mida kakahama hapo saivi ndo anamfukuzia demu fulani humu sijamjua jina la utani humu ila ndio ukweli .alipigwa saivi ukimwangalia vizuri anashtuka shtuka kutokana na kichapo .