Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We shosti nipe na mie ilo selfie si unajua tumetoka mbali toka enzi ya muke ya muzungu, mama Bhokenzo mwenyewe
Walai kipindi kile ndio ingekua Saivi nahisi ningeshakimbia id yangu ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿคฃ! Zile naked ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!! ๐Ÿค ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜!
 
Maleko msalaam ๐Ÿ˜„
Unajua hapa jf melo akiamua kukusanya mahari atapata nyingi sanaa ๐Ÿ˜„ maana kuna visu juu ya gadem visu ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ˜„
Tuko vizuri, sio wanyonge๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿฅด๐Ÿฅด๐Ÿฅด๐Ÿฅด๐Ÿฅดmbona unanichanganyaaa banaaa... nadate vipi humu wakati sina vigezo vya kupata mchuchu humuu
Unajua hili gazeti ni lasiku nyingi ndio maana humjui huyu mtu umeamua kumweka back list , ila huyu dada alikufaa sana nipo serious ndio maana wanakuita malaya
 
Unajua hili gazeti ni lasiku nyingi ndio maana humjui huyu mtu umeamua kumweka back list , ila huyu dada alikufaa sana nipo serious ndio maana wanakuita malaya
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… yani hadi nasahau mkeka wangu.. sio kweli aisee... huu mkeka wa mtu mwingine sio mie..
 
Sasa huyu nikimaliza tu kutoa umbeya wake ananitoa sadaka , ila nakupa pakuanzia tu nawewe umalizie alipata demu humu nanimtu mzima kiasi anakatoto kake kazuri , kakike wakaanza kudate na inshort huyu dada alikuwa kwa National Anthem si yule kademu kake akajua akafanya vurugu huyu dada wa jf akazira hadi naleo , mbaya zaidi kale kademu muda sio mida kakahama hapo saivi ndo anamfukuzia demu fulani humu sijamjua jina la utani humu ila ndio ukweli .alipigwa saivi ukimwangalia vizuri anashtuka shtuka kutokana na kichapo .

***** kumbeeee!! Afu anajifanya baba askofu kumbe ndiye lucifer mwenyewe!!!! Maua shogaangu wewe ni kiboko

Ahsantreeeeeeee kwa kunifungulia code
 
Back
Top Bottom