Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Maini yatashangaa ni Nini hiki😀😀😀Leo vitu lainiiii...View attachment 2709157
Daah mwasisi wa mvinyo a.k.a vitu vikali and retire nini 🤔😁😁Leo vitu lainiiii...View attachment 2709157
Unique Flower eti ya kweli haya?muacheni bebi wangu😂
Daah mwasisi wa mvinyo a.k.a vitu vikali and retire nini![]()
Rusha tu mkuu, mi siwekeagi dhamana Wana wake😂🤣 National Anthem 😂🤣😁huyo mbona ni bestie yake sioni cha ajabu😅
Ni sawasawa na muuaji aseme ana pumzisha kuua kwa muda😂🤣Napumzisha maini na figo mkuu
Yeye arushe tu, maana Kama Hawa Ali msnitch Adam Bustanini, mi ni Nani ni lalamika 😂🤣😁unatangaza vita na Intelligent businessman 😅😅😅😅
sito amualia ugombi wenu.. nitaachana mpasuane vizuri kabisa
Ko kapigwa ko ya aftatu😂🤣😁Mie si humu wananionea banaa... bora amekutana na wanamuwezaaa 😅😅
Nitakua kwa Octa [ unapajua] karibu na ubalozi wa ufaransa,Karibujioni nipe code.
Huku toa code, nilipotoka wavuvi nikaenda boardroomNilikusubiri ulichelewa, nikahamia kitambaa cheupe badae.
Leo kamnyweso wapi 🥂
Tumsifu Yesu Kristo,we utaenda peponi,hata humu JF hapakufaiMkuu sinywi bia, sivuti sigara, bangi au madawa.
👉Hata kitimoto siitumii
usiniambie unaona wivu😂Unique Flower eti ya kweli haya?
napapata hapoNitakua kwa Octa [ unapajua] karibu na ubalozi wa ufaransa,Karibu
Amna mkuu huwezi ishi Eti kisa hutumii kitu fulani, Basi ndo ujitenge.Tumsifu Yesu Kristo,we utaenda peponi,hata humu JF hapakufai
😅😅😅 una kasingizia kama malkia kanguTena Depal ndo mchochezi wa Vita hiyo😂😁🤣, ana kuambia tuangalie sisu😂🤣😁