Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba usinizoee kijiinga sipendi mzaa
Ni kweli nilipotoa ile post Mwachiluwi na mshamba_hachekwi nani nimchague mbona ulishadadia je ningekuwa serious na huo uzi kuwa ni wewe na huyo ndio nilikuwa nawataka halafu nikute unamlilia huyo mdada ningejisikiaje hata wewe hujatulia wote mlikuwa hamjatulia ulikuwa unamtaka kila mtu wewe ni bendera upepo. Ukitaka usifanyiwe ubaya usiwafanyie wenzako upo na mtu bado kila mdada humu unamuita babe wewe ndio unapenda kuwa free ila sio mwenzio
 
Punguza kunijua unifahamu pammbana na yannayo kuhusu achana nna mimi
Sitaki unimention kijinga jinga acha upumbavu sipendi hhaya mambo yanayo endelea hapa
Hupendi kwa maana yamekushinda nani akutake wewe unayemtegemea shemeji Yako umekuja arusha unataka guest za elfu tatu , mie sio ligi yako kijana huniwezi kwa sabuni au lotion hujawahi niona wala kunijua wala sitakagi mie viwatu vya huku mmkekomaa kama ungo za wachawi, hamna hela mkijenga nyumba mmoja mnazima mazima , wewe nikama kakitu ambacho hujai mkononi, ila unatamba mie nakufundisha uache unafiki , halafu jingine eti unawaka unamuwakia nani, umewahi niona najikomba kwako mie hapana. Hujui kwanini ngoja utajua tu ipo siku , eti hupendi mAmbi yanayoendelea hapa kwani wewe ndio mwenye hii app acha kujishaua umetukuta na hujui tunaishije mazoea na mimi sipendagi mabaunsa kwenye shughuli zeroo ndio maana unapanda boda boda . Usinizoee na unikome kama ulivyokoma vyote ulipo kuwa mdogo mie sio ndugu yako wala shangazi yako , wala mie sio rafiki yako , pelekea hasira zako ulipochunwa vimiamia vyako ipo siku humu mtaelewa mie mtu wa namba gani siwezi date na visiki mie umetukuta cheza kwa step shuwain , unamikosi na mabalaa nani akuhesabie honey acha uchizi njoo kwenye reality hakuna ambaye atakutaka hujajipanga ujue hilo post zako zinaonyesha wewe nikilaza
 
We kavu Sana😂😁
Eti msikie hizo kimzimu eti kinanijia juu eti nikome sipendi mambo yanayoendelea hapa , nikuulize kama kaibiwa demu sinikwamba hakajiwezi sasa nani anataka masazo kwanza kanalishwa na shemeji, pili hakajielewi , tatu anadate na watu mitandaoni jamani tumfungulie jalada la wagonjwa hebu watu wajue basi type zangu.?? Hana hata gari 1 sasa unampeleka wapi?? Sura mbay vile. Mie nataka vifaa vichwa , hizo meli sio vitreni vya tazara viinavyozima aigh
 
FB_IMG_1691178515506.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli nilipotoa ile post Mwachiluwi na mshamba_hachekwi nani nimchague mbona ulishadadia je ningekuwa serious na huo uzi kuwa ni wewe na huyo ndio nilikuwa nawataka halafu nikute unamlilia huyo mdada ningejisikiaje hata wewe hujatulia wote mlikuwa hamjatulia ulikuwa unamtaka kila mtu wewe ni bendera upepo. Ukitaka usifanyiwe ubaya usiwafanyie wenzako upo na mtu bado kila mdada humu unamuita babe wewe ndio unapenda kuwa free ila sio mwenzio
Dah wap nilishadadia?
Yup mwingine ambaye namwita baby?
Una asili ya shall ssana sipendi shali hasa kwenye shali za keyboard
 
Hupendi kwa maana yamekushinda nani akutake wewe unayemtegemea shemeji Yako umekuja arusha unataka guest za elfu tatu , mie sio ligi yako kijana huniwezi kwa sabuni au lotion hujawahi niona wala kunijua wala sitakagi mie viwatu vya huku mmkekomaa kama ungo za wachawi, hamna hela mkijenga nyumba mmoja mnazima mazima , wewe nikama kakitu ambacho hujai mkononi, ila unatamba mie nakufundisha uache unafiki , halafu jingine eti unawaka unamuwakia nani, umewahi niona najikomba kwako mie hapana. Hujui kwanini ngoja utajua tu ipo siku , eti hupendi mAmbi yanayoendelea hapa kwani wewe ndio mwenye hii app acha kujishaua umetukuta na hujui tunaishije mazoea na mimi sipendagi mabaunsa kwenye shughuli zeroo ndio maana unapanda boda boda . Usinizoee na unikome kama ulivyokoma vyote ulipo kuwa mdogo mie sio ndugu yako wala shangazi yako , wala mie sio rafiki yako , pelekea hasira zako ulipochunwa vimiamia vyako ipo siku humu mtaelewa mie mtu wa namba gani siwezi date na visiki mie umetukuta cheza kwa step shuwain , unamikosi na mabalaa nani akuhesabie honey acha uchizi njoo kwenye reality hakuna ambaye atakutaka hujajipanga ujue hilo post zako zinaonyesha wewe nikilaza
Sawa mimi kilaza ukilaza wangu umekuathiri nini?

Kupanda bodaboda ni dhambi?

Ningekuwa nazitaka izo gest za 10k ningezipata hila sikuamua kuzitafuta

Sawa nakaa kwashemeji kuna shida?

Tumekutana hapa jf tujuane kijf ivyo ivyo my dear jifunze ustaarabu na kufupisha mambo nimekuambia ukweli kuwa sipendi kitu fulani umekuja na Insha hapa jukwaani ya nini jibu lilikuwa simple sana
 
Sawa mimi kilaza ukilaza wangu umekuathiri nini?

Kupanda bodaboda ni dhambi?

Ningekuwa nazitaka izo gest za 10k ningezipata hila sikuamua kuzitafuta

Sawa nakaa kwashemeji kuna shida?

Tumekutana hapa jf tujuane kijf ivyo ivyo my dear jifunze ustaarabu na kufupisha mambo nimekuambia ukweli kuwa sipendi kitu fulani umekuja na Insha hapa jukwaani ya nini jibu lilikuwa simple sana
Unajiona kama nakutaka najipendekeza mie sikutaki nilini nimekupm sema tu . So huu ndio mwisho staki mazoea usinizoee sitaki ureply message siongei na vilaza
 
Back
Top Bottom