Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siye tunamtaniaga mwachiluwi sasa jana hayo matani akadhania kweli hadi akanitusi sasa hanijui hajawahi niona so matusi yanini?? Unamtukana usiyemjua ili uprove nini?? Sijui mpumbavu eti wewe mwanaume mzima unamwita mwanadada wawatu mpumbavu kweli kusa nini??
Ni hasira tu zile, usijibu kitu ugomvi uishe tu, na kwanini mgombane kwenye kitu kdogo hivo
 
Ni kweli nilipotoa ile post Mwachiluwi na mshamba_hachekwi nani nimchague mbona ulishadadia je ningekuwa serious na huo uzi kuwa ni wewe na huyo ndio nilikuwa nawataka halafu nikute unamlilia huyo mdada ningejisikiaje hata wewe hujatulia wote mlikuwa hamjatulia ulikuwa unamtaka kila mtu wewe ni bendera upepo. Ukitaka usifanyiwe ubaya usiwafanyie wenzako upo na mtu bado kila mdada humu unamuita babe wewe ndio unapenda kuwa free ila sio mwenzio
Kama hakutaki njoo kwangu
Kuna nafasi 3🤣
 
Njoo tuangalie SISU 😂😂
Hapana aiseeee niko busy na swala lako😆😆😆
IMG_1815.jpeg
 
Unajiona kama nakutaka najipendekeza mie sikutaki nilini nimekupm sema tu . So huu ndio mwisho staki mazoea usinizoee sitaki ureply message siongei na vilaza
Sijawai kufikiria ivyo isipokuwa naona mnavuka mipaka ndio maana nimeongea ssijawai date na mtu hapa kama nngedate bas mngejua itoshe kusema samahani nilpo kukwaza ila sipend unafiki
 
Back
Top Bottom