Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Naomba nikutoe dinner.Nipo, mzima mie... sijui kwa upande wako.
Naomba nikutoe dinner.Nipo, mzima mie... sijui kwa upande wako.
Depal nimetoka mfunika na shuka... anakusalamiavipi lakini vibinti vinasemaje😅
you wish😆 sema pambania, miujiza ipoDepal nimetoka mfunika na shuka... anakusalamia
Yalaa weee jamani inauma😂🤣😁huyu kijana awe karibu na mtu aise... asije fanya mafyongo 😅😅
Nakubali kula kaka, Figo yangu ni $1m
chezea unaambia huyu ni shemeji... kumbe mlaji mwenzio 😅😅Yalaa weee jamani inauma😂🤣😁
Na anaye kula Mwanao🤣😂🤣chezea unaambia huyu ni shemeji... kumbe mlaji mwenzio 😅😅
kwamba unakula nini mpaka figo iwe $1m😆Nakubali kula kaka, Figo yangu ni $1m
ndio ivyo.. JF ni ku share upendo tuNa anaye kula Mwanao🤣😂🤣
Thats my price, nakula upepo tu😂🤣kwamba unakula nini mpaka figo iwe $1m😆
Hata huo upendo, sometimes ni uchawi😂🤣😁ndio ivyo.. JF ni ku share upendo tu
😅😅 uchawi sio hadi kibuyuHata huo upendo, sometimes ni uchawi😂🤣😁
Shauriroooo
Mkikosa story jitahidini bas ata kuwaza asendio ivyo.. JF ni ku share upendo tu
tuwaze ili iweje arifu.. 😅😅Mkikosa story jitahidini bas ata kuwaza ase
ila wewe ni mnafki😆Shauriroooo View attachment 2708674
Nasikia atakaye taarifa ya wanna funzi Wala shisha, ana Pata pesa😂🤣Shauriroooo View attachment 2708674
Jibu kavu Sana hili😂🤣😁, hamna huruma😂😁tuwaze ili iweje arifu.. 😅😅
sheesha is legal mzee, huko ni shule za o-levelNasikia atakaye taarifa ya wanna funzi Wala shisha, ana Pata pesa😂🤣
Cc mshamba_hachekwi nijaribu bahati😂🤣🤒