Wale mabinti wameshindikana, wanakunywa Wine za 180,000 alafu kule Jikoni waliagiza Mbuzi mzima
Walifanya nitembee kwa miguu hadi Bonyokwa![]()



pole sana ndio watoto wa mama saa100 hao babuLakini ukubali kukopwa hadi Mwakani pension ikitoka tena![]()




Shida yao hawalewi kabisa, sirudi tena pale kwa kweli 😜🙌pole sana ndio watoto wa mama saa100 hao babu
Woooooooow 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shida yao hawalewi kabisa, sirudi tena pale kwa kweli![]()



kuna spray wanajipulizia kukata pombeHahaha................nitakuandika shamba moja liwe lako, ila hati nabaki nayo 😜Mkopo hapana babu usije kufa na sukari kabla pension haijatoka![]()
Nilikuwa sijui kwa kwelikuna spray wanajipulizia kukata pombe
Sio shamba tyuu babu umpe nyumba na mavitu vingine kibaoo babuu uko vizure!!😊Hahaha................nitakuandika shamba moja liwe lako, ila hati nabaki nayo 😜
Nilikuwa sijui kwa kweli
Alafu nilijidai mjanja nikatenga pembeni laki 3 ya vyombo, lakini huwezi amini nilienda mwenye Mlimani City kufata hela zingine![]()




Eendiwoooooooo ndiwooo uduguuu! Babu mzungu afu hanaga uswahiliiii kabessa!!🤠🤠Atuwekee ndafu hatutaki cake walevi hatupendi vitu vya sukari![]()
Unataka Wajukuu wanilaani Babu yao 😁🤪Sio shamba tyuu babu umpe nyumba na mavitu vingine kibaoo babuu uko vizure!!😊