Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Hapa niliposimama mi nakuona....geuka nyuma!!🙂Tuma location link ya google map, nije chap.
Hapa niliposimama mi nakuona....geuka nyuma!!🙂Tuma location link ya google map, nije chap.
Hupendi kushiba wewe naona unapenda kushinda njaa wewe! Shambani ndio kuna mali uduguuu hebu likizo ukamtembelee babu umsamilie kwanzaa🤠🤠!!km analima amchukue Missy Gf mimi na kilimo hapana aiseeee
Ahahhaahah hapna kunandoto inanisumbua tangu niamke



Mkulima huyo atakua alikua anaenda kufatilia mafao yake uduguuu!!!!



na atakuwa mwenyekiti wa kijijiHupendi kushiba wewe naona unapenda kushinda njaa wewe! Shambani ndio kuna mali uduguuu hebu likizo ukamtembelee babu umsamilie kwanzaa!!




Simulia sasa tukutafsilie![]()
Nimeota bus linaningoojea gafla likapotea inanites
Nimeota bus linaningoojea gafla likapotea inanites
PilauUlikula chakula gani kabla ya kulala??
Ni mwenyekiti wa kitongoji bora hata kijiji lol! Likizo nakupitia twende kwa babu kumsalimia bibi amekukumbuka balaa uduguuu!!😊!na atakuwa mwenyekiti wa kijiji
Pilau




Mweh babu mkulima wa rejareja pesa atoe wapii uduguuu!!🤠🤠😁🤠!! Kapuku tu Sema mazao na mifugo ndio kama yotre!! Naonaga anavitupia humu balaaYeye avune, akiuza anipe pesa nimuonyeshe kazi ya pesa![]()
Ahahahhha Duh af kesho nahamu yabilian ill nikila naarishaNdiomana
Viungo vina gesi, tena shukuru lilikuacha kuliko lingekugonga kabisa usingeamka
Ni mwenyekiti wa kitongoji bora hata kijiji lol! Likizo nakupitia twende kwa babu kumsalimia bibi amekukumbuka balaa uduguuu!!!



uduguu tutapewa radhi na babu sio kwa utani huoMweh babu mkulima wa rejareja pesa atoe wapii uduguuu!!!! Kapuku tu Sema mazao na mifugo ndio kama yotre!! Naonaga anavitupia humu balaa



Babu asipotaniana na wajukuu zake ataniane nanani udugu 🤠!! Babu mzunguu !uduguu tutapewa radhi na babu sio kwa utani huo
🤣🤣🤣🤣🤣!!Tutauza Noah yake hiyo![]()