Hello Mjukuu 👋Emoji kubwaa sana hio babuu ipunguze utubles wajukuu zakoo trena!
Helloowww Granpah!
Wale mabinti wameshindikana, wanakunywa Wine za 180,000 alafu kule Jikoni waliagiza Mbuzi mzima
Walifanya nitembee kwa miguu hadi Bonyokwa [emoji2957][emoji119]
Lakini ukubali kukopwa hadi Mwakani pension ikitoka tena [emoji2957][emoji2960]
Shida yao hawalewi kabisa, sirudi tena pale kwa kweli 😜🙌[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana ndio watoto wa mama saa100 hao babu
Woooooooow 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shida yao hawalewi kabisa, sirudi tena pale kwa kweli [emoji12][emoji119]
Hahaha................nitakuandika shamba moja liwe lako, ila hati nabaki nayo 😜Mkopo hapana babu usije kufa na sukari kabla pension haijatoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikuwa sijui kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna spray wanajipulizia kukata pombe
Sio shamba tyuu babu umpe nyumba na mavitu vingine kibaoo babuu uko vizure!!😊Hahaha................nitakuandika shamba moja liwe lako, ila hati nabaki nayo 😜
[emoji1783][emoji1783][emoji1787]! Wajukuu tutakuja kukumwagia maji ya birthday...Au nasema uongo Cute Wife ??? [emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Kyuti rekodi hili usije sahau uduguuu!!
Nilikuwa sijui kwa kweli
Alafu nilijidai mjanja nikatenga pembeni laki 3 ya vyombo, lakini huwezi amini nilienda mwenye Mlimani City kufata hela zingine [emoji2957][emoji119]