Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
We nitakuroga tu.
We nitakuroga tu.
uduguuu akeee nicheck weww whatsap naona mie sikupati kabisa sijajua ni network yahuku Nyakiboo ama!
nataka niende nae DubaiMtrotro mkaree Bantu Lady pia yupo mjombaa atakua ametingwa kidogo ila I hope yupo njema kabisa!?/
alafu sie wengine hatumalizagi kila kitu.. tuna waachia na wengineKama huwezi kumpa yote japo muonjeshe kidogo, National Anthem
Mume wako si ndio mie hapaNamtunzia mume wangu
njoo basi, nakusubiri.. nianze kukuogesha au kukupia dekiWacha weee![]()
Mume wako si ndio mie hapa




Bas subiri tufunge ndoa ndio ule kwa kujiachiaMdogo wako amenimiminaa😭Shem nakutafuta, mdogo angu umemfanya nini mbona hana raha???
njoo basi, nakusubiri.. nianze kukuogesha au kukupia deki




Mmeo mtarajiwa hakutunzii we ndiye unamtunzia, kwani ukimpa mwanangu utamu utapungua, hio sio gum au pipi.Namtunzia mume wangu
Nipo Ankol habari zawewe. Uko poa?kipenzi changu Bantu Lady nae yupo wapi ?
Mdogo wako amenimiminaa![]()
njoo sasa kwanza, ulione dekioDekio unalo lakini??![]()
Mie mzimaaa kabisaa shangazi mrembo mzuri.. Nimefurahi kukuona shangazi yangu... ,mie mzima kabisaa.. waendeleaje na hali yakoNipo Ankol habari zawewe. Uko poa?
Mrembo wangu mambo tu ya hapa na pale. But nipo kipenzi Tonniah 😍😍😍Mtrotro mkaree Bantu Lady pia yupo mjombaa atakua ametingwa kidogo ila I hope yupo njema kabisa!?/