Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,577
Nikupige vijembe wewe ili iwe nn? Nikiamua kukuchana nakuchana live tutulia mzee, mbona vijembe
Huwa sipigi mtu yoyote vijembe, mimi nakupelekea moto live
Nikupige vijembe wewe ili iwe nn? Nikiamua kukuchana nakuchana live tutulia mzee, mbona vijembe
kwahiyo wewe ni pung'a😂nakupelekea moto




Namtumia no ya wakala chaapMpiem namba aweke mzigo, hana shida ndogo ndogo mgodi umetema hapo
Mwenzio nimepewa dollar naenda bureau kuchange![]()
Nikupige vijembe wewe ili iwe nn? Nikiamua kukuchana nakuchana live tu
Huwa sipigi mtu yoyote vijembe, mimi nakupelekea moto live
Kumekucha kumekucha hii pasi imempata dobiAuntiee upo eeh 😊😊😊😊😊 embu kula chuma hicho 😀😀😀😉View attachment 2702455
Nimependeza wapi auntiee 😆😆😆🤣🤣🤣.Oyooooooooo mbona umependeza sana
Nipe siri ya kupendeza kwako kwanza
kwahiyo wewe ni pung'a
tulia bana utaharibu uzi wa watu
Unaquote nakupelekea moto alafu unasema mm punga? Wewe uliyequote si ndio punga, au hujaelewa nilivyosema nakupelekea moto?kwahiyo wewe ni pung'a
tulia bana utaharibu uzi wa watu
Ngoja nikupe locationAfu sikuelewi wewe mwanaume ujue
Ile issue vipi sasa?!! Tuma pesa basi niende kwa mtoto iddy kesho nikatengeneze kucha![]()
haya basi mzee yaishe😂Unaquote nakupelekea moto alafu unasema mm punga? Wewe uliyequote si ndio punga, au hujaelewa nilivyosema nakupelekea moto?
🤣🤣🤣 Pasi ya mwendo kasi hiyo kabisa.Kumekucha kumekucha hii pasi imempata dobi
Kumekucha kumekucha hii pasi imempata dobi



Na hiki kibaridi vinashuka tuFanya hivyo tulewe sie shogare![]()
Na alivyo kibonge sasa 😛Kachomekea leo mdogo angu kapendeza kweli![]()
Thanks 🤗🤗🤗🤗🤗😃🙂Kachomekea leo mdogo angu kapendeza kweli![]()
HahahahahaAuntiee upo eeh 😊😊😊😊😊 embu kula chuma hicho 😀😀😀😉View attachment 2702455
Nimependeza wapi auntiee.
Mbona naona ni normal nilivyokonda sasa mpaka shati linaonekana limepwaya.



