mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,284
- 71,989
ndio sikati tamaa, we mzembeHizi mbinu zako zilifeli since day one, unarudia tena vilevile
ndio sikati tamaa, we mzembeHizi mbinu zako zilifeli since day one, unarudia tena vilevile
Sijaelewa kabisa nn wamaanishaKhee nguruwe pita sina mkuki mie......@cute wife mchukue kantri wako
Nishakua mzembe sio?ndio sikati tamaa, we mzembe
ndio.Nishakua mzembe sio?
Sijui ni hiki kinywaji kimepanda kumkichwaSijaelewa kabisa nn wamaanisha
Nitakutukana matusi ya mviringo![]()



Nikukute huko umeshayamwagaUsinitukane shogaangu nakufungulia ss hivi![]()
Huo urafiki wenu hautadumu. Nipo pale nimekaa
Sawa mtabiri tambitambi

Cocastic hapana, nimejilazimisha kumkubali lakini nimeshindwa
Kwa mara nyingine nasikitika sana



Sio mambo zangu hizo. Mimi kazi yangu kuweka marks, if it's good nitasema and if it's bad nitasema![]()




OkBasi nenda kwa unaowakubali
Km umemchoka tuachie sisi Asumoneeeeeyy
hanibabaishi mbwa ukimjua jina wala hakupi shida



kwa mara ya kwanza mtu aanapenda boga bila ua lakeNasikitika nguvu kazi ya taifa imepoteaKichwa kikubwa kusikitika unaweza kweli?![]()


Black is black and white is white. Mambo ya black kusema white kwangu BIG NOSema baba ulizaliwa rijali wewe na mama Kantri![]()
You are awesome and beautiful




