Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Yameisha, jealous sio mzukahaya basi mzee yaishe![]()
Yameisha, jealous sio mzukahaya basi mzee yaishe![]()
Unaquote nakupelekea moto alafu unasema mm punga? Wewe uliyequote si ndio punga, au hujaelewa nilivyosema nakupelekea moto?
Leo umeamuaBongo fighting, aliyehumu ndani,tuwasiliane
Ngoja nikupe location
Uijie kesho



haya basi mzee yaishe![]()
Na hiki kibaridi vinashuka tu
Dogo kuna muda anazingua, namuambia kwa sasa sitaki any quarrels haelewi.Mkalale km mmechoka
Huu urafiki wako na cocastic ukweli bado siukubali kabisa. Anyway......Nani kasema? Uko vyedi ile mbaya na unavyojiamini sasa jeshi la mtu mmoja
Nakukubali hujawahi kuyumbishwa![]()
Kweli mzee umechukia leoDogo kuna muda anazingua, namuambia kwa sasa sitaki any quarrels haelewi.
Cute enzi izo mdogo na dada yangu umeiona
View attachment 2702460


Sio siri asa kwa wageni siku nitakupelaka mtwara ukamuoneNimempenda mama yako mpe hi
Anaonekana mama mwenye upendo sana
Kweli mzee umechukia leo

kuchukia kwangu big no. Mimi ndio hufanya wengine wachukie, lakini mtu kunifanya mm nichukie hiyo ngumu mnoDogo kuna muda anazingua, namuambia kwa sasa sitaki any quarrels haelewi.
Yes,pasi imefanya kazi yake,safi sana,ukisikia mtanashati ndio wewe sasa?Auntiee upo eeh 😊😊😊😊😊 embu kula chuma hicho 😀😀😀😉View attachment 2702455
Mimi naweza kukufanya uchukie ila huwa na respect sanakuchukia kwangu big no. Mimi ndio hufanya wengine wachukie, lakini mtu kunifanya mm nichukie hiyo ngumu mno
Wala sijachukia, mm hadi nichukie sijui itokee nn.Mbona wewe unamtaniaga hachukii?