YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Huu urafiki wako na cocastic ukweli bado siukubali kabisa. Anyway......
Si nimekupa ruksa ukachague wanaokufaa wenye marafiki unaowataka jamani



Huu urafiki wako na cocastic ukweli bado siukubali kabisa. Anyway......



Hiyo kwangu sahau, zaidi wewe ndio utachukia.Mimi naweza kukufanya uchukie ila huwa na respect sana
Mheshimiwa DC nakuona unavyojimwaya mwaya hapa vipi bado unalea damu za wanaume wengine 🤣🤣. Alafu embu nipe account ya sweet mangi ig maana nimeisahau na ubaya siku mfollow kabisaHuu urafiki wako na cocastic ukweli bado siukubali kabisa. Anyway......




OkSi nimekupa ruksa ukachague wanaokufaa wenye marafiki unaowataka jamani![]()
👊✊Yes,pasi imefanya kazi yake,safi sana,ukisikia mtanashati ndio wewe sasa?
Sio siri asa kwa wageni siku nitakupelaka mtwara ukamuone



Unapaswa kufahamu mm sio mnyonge chagua wa kuwaonea, cocastic ukianzisha vita na mm haitaisha. Mara ya mwisho ulipigwa ban. Basi ngoja twende vile unatakaMheshimiwa DC nakuona unavyojimwaya mwaya hapa vipi bado unalea damu za wanaume wengine. Alafu embu nipe account ya sweet mangi ig maana nimeisahau na ubaya siku mfollow kabisa View attachment 2702470
Tuishe hapoHiyo kwangu sahau, zaidi wewe ndio utachukia.
Wala sijachukia, mm hadi nichukie sijui itokee nn.
Makubwa duu nimekuwa coca tena asee.Unapaswa kufahamu mm sio mnyonge chagua wa kuwaonea, cocastic ukianzisha vita na mm haitaisha. Mara ya mwisho ulipigwa ban. Basi ngoja twende vile unataka
Penseli 4 ni cocastic kivipi😅 mbona cocastic pisi kaliUnapaswa kufahamu mm sio mnyonge chagua wa kuwaonea, cocastic ukianzisha vita na mm haitaisha. Mara ya mwisho ulipigwa ban. Basi ngoja twende vile unataka
Cocastic hizi picha unaweka za watu ambao wapo zao na mambo yao huko ni ufala. Hadi hapa umefeli, na aliyekulisha hayo matango pori kaa nae tena vizuriCountrywide huyu mtoto kaishia wapi aseee.![]()
Chinga la CPA unazani kuliweka ndani ni mchezoView attachment 2702478
Arafurahi zaidiNawapenda wamama mimi
Nitamtafutia na zawadi nzuri nimpelekee
Umedandia mtumbwi wa vibwengo. From chugastan here, hakuna usela siujuiMakubwa duu nimekuwa coca tena asee.
Hii mbona kali. Anyway utajua hujui. Tu
aliijia hela ya saloon Kama utavyoijia.Sura zenu zinaonesha mmetoka kufanya mchezo mbaya![]()
Arafurahi zaidi



Pisi kali? Kuna mtu aliyezaliwa wa kiume akawa pisi kali?Penseli 4 ni cocastic kivipimbona cocastic pisi kali