YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Hadi sasa roho ipo juu, umenunua brands tupu. Where did you get that money??



Kantri una nini lakini??!! Eti Eeh?!!!Mwenzio apeche alolo navaa za wakinga kutoka Guangzhou
Hadi sasa roho ipo juu, umenunua brands tupu. Where did you get that money??



Kantri una nini lakini??!! Eti Eeh?!!!Ahahaha unakataaa pale ofisini kwake ukichunguza ni wachache ambao awajamlaHili halina ukweli
Ww unataka nimwage mambo ya watu hapa kuna mmoja wao yupo humuKino kumeoza, afu ss hivi upuuzi wa kino umeweka mizizi tabata
Roho bado ipo juu juu sana, hili swali hadi sasa sijapata jibu. Where did she get the money????Kantri una nini lakini??!! Eti Eeh?!!!
Mwenzio apeche alolo navaa za wakinga kutoka Guangzhou
Ahahaha unakataaa pale ofisini kwake ukichunguza ni wachache ambao awajamla
Juma lokole alisikia fdq anatango kubwa akaanza mshobokea fid q akampa mkwala juma lokole akagive up ila nasikia bado ajakata tamaaa
Ww unataka nimwage mambo ya watu hapa kuna mmoja wao yupo humu



Roho bado ipo juu juu sana, hili swali hadi sasa sijapata jibu. Where did she get the money????
Soon or later jibu nitalipata





Nmecheka sana kumbe na wewe ni mbunge wa bunge letu tukufu 🤣🤣🤣Ww unataka nimwage mambo ya watu hapa kuna mmoja wao yupo humu
Dada leta ubuyu wa bungeni



Hebu alete hapa sasa umbea ni kitu cha kunyimana jamaniShouga mwenyewe nausubiri kwa baba Paroko afu anaubania![]()
Sasa kwanini upate relief, kutoka kwa ubavu wangu wa pili 😁😁Sina tatizo![]()
Majizo hajaweka kigezo hicho, Nina mfahamu mtu Ni mwajiriwa pale.Huyo anachipukia ila majizo kwanini aweke kigezo cha kupata kazi ni kuotoa rinda
Hawa ndio wanatufanya tuchukie umaaruf
Hebu alete hapa sasa umbea ni kitu cha kunyimana jamani



Letter tucheke yaisheNashangaa!!! Umbea nao wa kumbania mtu kweli?![]()
Letter tucheke yaishe
Ila jamani dar imeozaaa Hao celebrities wananuka ufuska tuuu



Kwa zile spending kuna kitu hakipo sawa, nafanya uchunguzi huru. Mbuzi ukimuona juu ya mti ujue kuna mtu kampandishaUtafanya shem wangu Mjep asinitumie ma-voucha kwa kujua mimi mambo safi, kumbe choka mbaya
Afu Kantri hizo pombe leo sikuelewi kabisaa usije kubeba mhudumu![]()
Kuna baadhi ya story unapaswa kupotezea tu, uongo huwa mwingi kuliko ukweliShouga mwenyewe nausubiri kwa baba Paroko afu anaubania![]()