YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
George ( G nako)
[emoji3][emoji3][emoji3] nilijua utamtaja huyo ndugu yako
George ( G nako)
Kuna mambo ni magumu sana hutokea, mojawapo ni hilo.
Pen and paper its time to get college/Kantri nimemiss michano [emoji4][emoji4][emoji4]
Hebu nipe moja afu tuage selfika tukanywe whiskey yetu babe
Si mtu wa drama kabisa, mstaarabu[emoji3][emoji3][emoji3] nilijua utamtaja huyo ndugu yako
Pen and paper its time to get college/
sinukii perfume wala sinuki jasho/
nani anafyumu uswazi hakuna mipasho/
kuna mererani, ngome, jela na uraiani/
pembe tatu za maisha r-back tang ngara be careless one and siwezi kuwa be careless one/
kama kufanya nafanya sifanyi matusi/
kama kuchana nachana, sichani ku-diss/
Coca na madunya siwez wamiss, mdomoni kama halipi siwezi kiss/
Si mtu wa drama kabisa, mstaarabu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naonaa jager imefika kwa tumbo. Sehemu nilipo hapa kunaa huyu barman alikua amesimama pembeni yangu muda mrefu kidogo ananiangalia ikabidi nigeuze simu faster[emoji1787][emoji1787], nilishtuka kidogo niangushe simu. Atakua na id humuMbona unaanza kumsimanga sebuleni khaaaaaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee Kantri ebu wachaaa huo ujinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii imekaa kiugomvi sitaki [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe km ile ya Joh “BOBEA” sasa ulete ya kwetu [emoji12]
Mkuu katika celeb wakike anae jielewa namuona Aunt ezekile she is so smart nampenda ata interbiew zake anaongea point sana kajala yupo vzr pia ila harmonize kamchafuaSio kweli. Mnachanganya kati ya celebrities na selebrities. Tatizo lipo kwa hawa selebrities. Unaenda ku-date na dullah makabila unategemea nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naonaa jager imefika kwa tumbo. Sehemu nilipo hapa kunaa huyu barman alikua amesimama pembeni yangu muda mrefu kidogo ananiangalia ikabidi nigeuze simu faster[emoji1787][emoji1787], nilishtuka kidogo niangushe simu. Atakua na id humu
Si ajabu anaandika thread[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] soon tutaletewa habari zako ntachekaaaa
Mkuu katika celeb wakike anae jielewa namuona Aunt ezekile she is so smart nampenda ata interbiew zake anaongea point sana kajala yupo vzr pia ila harmonize kamchafua
Si ajabu anaandika thread
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] heeeh we jamaaMkuu katika celeb wakike anae jielewa namuona Aunt ezekile she is so smart nampenda ata interbiew zake anaongea point sana kajala yupo vzr pia ila harmonize kamchafua
Huyo ujamjua mkuu ni ana privacy to lakini ya gizan yanatishaBongo movie ni Jennifer Kyaka
Acha kumtishaKwa akili za Kantri huyo barman ajiandae kupoteza kibarua chake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nini mkuu kwani uongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] heeeh we jamaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu atakua katumwa na cocastic aje kunipeleleza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] soon tutaletewa habari zako ntachekaaaa
AiseeeBongo movie ni Jennifer Kyaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] heeeh we jamaa