Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niko makini silali mpk ulale, usije kutoa siri zetu hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cute wife mama wa brands tu, Zara, LV and the likes[emoji1787]

Hii siri nitaitoa, unapata wapi pesa za kununua brands tu?
 
Cute wife mama wa brands tu, Zara, LV and the likes[emoji1787]

Hii siri nitaitoa, unapata wapi pesa za kununua brands tu?

Kantri acha kunijaza mimi jeuri ya kuvaa brands naitoa waapi? Mbona pombe zako zinaanza kuongea uongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acheni story za bdozen, mmeshaasema mengi ya kweli na ya uongo.

Kwa nn msimjadili majizzo na arnold balati? Sababu sio celeb kivile??
Huyo anachipukia ila majizo kwanini aweke kigezo cha kupata kazi ni kuotoa rinda

Hawa ndio wanatufanya tuchukie umaaruf
 
Kantri acha kunijaza mimi jeuri ya kuvaa brands naitoa waapi? Mbona pombe zako zinaanza kuongea uongo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi sasa roho ipo juu, umenunua brands tupu. Where did you get that money??
 
Back
Top Bottom