Selfika na JF: Snap it. Show it

Itabidi nikupe tecno ya Chino tu uniachie macho matatu hayo

Nimechoka kuelekeza
Chinooooo ake ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Chinooooo ake ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Amarula iko kichwani basi hata naelewa jinsi ya kufuta ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo uko
 
Kula vyombo tu mbantu!! SEMA Njiwa wangu amekuja mjini hata hujanidakia;; nimbabie kwenye ampiano mpaka karudi nyikibooo uko
๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!!
 
Ona anavyotoka nduki Bantu Lady

Aki umenikumbusha siku ile frester ilivyokua ikichanja mbuga
 
Kweli?!! Mimi siamini bado.
Unatumia vigezo gani kuzijua pisi mbovu? Cha ukorofi umenishinda
Kuna kigezo kingine zaidi ya kuona picha zao. ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

We ukiona dem anakulazimisha uchat PM na hamjazoeana jua kuna walakini kakosa soko huko mtaan kaja kudangia humu.

๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž. Vepee kwani bado huamini

Una miaka 8 JF auntiee 2015 nilikuwa la saba.

Nashangaa nimejiunga nov /2022 ila najua vitu vingi kuliko ww ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† how comes? ๐Ÿค”
 

Mimi sikua mfatiliaji sana wa chit chat na mmu

Kuna jukwaa langu pendwa humu ndio nilikua nalo busy tena kwenye id nyingine sio hii

Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana
 
Hii nilifungua kuna mtu nilitaka kumtukana
Ok sawasawa kumbe tuna tabia zinazofanana hata mimi mtu akinikwaza hua naangalia natumia id gani nisije nikaharibu CV.

Kama ni cha wote hapo sawa ila zile za heshima naachana nazo kabisa. ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž

Auntiee una komwe zuri lakini hongera ๐Ÿซฃ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
 
Duh nilisema mimi jf sahv tupo na watoto

๐Ÿ™Œ I rest the case
 
Khakhakhaaaa.. Nacheka kama mazuri uduguuu!!
Humu sijui ndio gia hio mtu akimdondokea mwanaume lazima akandie mwanamke mwenzieee hawawezagi kupambana naharee zao kabisa kutokujiamini tu!!
Aisee ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ๐Ÿ’ฏ.

Hahha na walivyo wajinga wanajitangaza kabisa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Na kujiona mashujaa duuuh asee. Mi nachekaga kama fala.

Watu wazima hovyo ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ. Na UKIMWI WAO

Pathetic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ