spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,123
- 21,835
Umeona uje untaje ukuVijana wa siku wa ovyo sana Leo nilienda kidispensary kimoja hivi 😀
Nimeanza kupewa vikaratas vya namba mapokez,nimeingia Kwa Dokta nikaelekezwa maabara nmepimwa wa maabara kanipa namba nimpigie 😀😀nimerudi Kwa Dokta nimepewa namba Tena 😂😂
Sijui nianze kumpigia yupi😂😂ndo maana Ukimw hauish
Antonnia