Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema mshamba_hachekwi

Dogo tuna safari ndefu sana unajua mpaka muda mwingine nacheka sana.

Sijui pisi kali za umri wetu tutazipatia wapi asee bila hela. Ni uongo.

Mi majirani wangu wa kike karibia wote wamenizidi umri
Na ambao bado ni wanafunzi. 🤣🤣🤣

Duu
😎😎😎 Ukweli mchungu sana huu
soma bro, shule kwanza😅 unawaza uzinzi
 
Vijana wa siku wa ovyo sana Leo nilienda kidispensary kimoja hivi 😀
Nimeanza kupewa vikaratas vya namba mapokez,nimeingia Kwa Dokta nikaelekezwa maabara nmepimwa wa maabara kanipa namba nimpigie 😀😀nimerudi Kwa Dokta nimepewa namba Tena 😂😂
Sijui nianze kumpigia yupi😂😂ndo maana Ukimw hauish
Antonnia
Hao Wahuni kama wahuni wengine tyuuu !😂
 
soma bro, shule kwanza😅 unawaza uzinzi
We dogo unajifanya hupendi eeh.

We jichetua tu. Mi kuna vitu vinanitia hasira sana 🤬🤬🤬 au basi tu.

Au tuufuate ule msemo wa mwanaume anavyozeeka ndo thamani yake huongezeka 😅😅😅.

Sio kwamba tukifika miaka 40 tutakuwa na thamani 🤣🤣🤣. Aseee

Nimechoka kuwa CHAPUTA mimi 🤬🤬
 
Vijana wa siku wa ovyo sana Leo nilienda kidispensary kimoja hivi 😀
Nimeanza kupewa vikaratas vya namba mapokez,nimeingia Kwa Dokta nikaelekezwa maabara nmepimwa wa maabara kanipa namba nimpigie 😀😀nimerudi Kwa Dokta nimepewa namba Tena 😂😂
Sijui nianze kumpigia yupi😂😂ndo maana Ukimw hauish
Antonnia
Umeona uje untaje uku
 
Back
Top Bottom