Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
I miss uYupo anachambua pm zetu za Jana mnywani.
I miss uYupo anachambua pm zetu za Jana mnywani.
Sukrani sana 🙏Nimepitia uzi wako wa single ladies madini tupu 🔥🔥🔥🔥🔥 kazi kwao wadada 🍻
Anakudai ya kusuka ujue!! 😁Yupo anachambua pm zetu za Jana mnywani.
soma bro, shule kwanza😅 unawaza uzinziSema mshamba_hachekwi
Dogo tuna safari ndefu sana unajua mpaka muda mwingine nacheka sana.
Sijui pisi kali za umri wetu tutazipatia wapi asee bila hela. Ni uongo.
Mi majirani wangu wa kike karibia wote wamenizidi umri
Na ambao bado ni wanafunzi. 🤣🤣🤣
Duu
😎😎😎 Ukweli mchungu sana huu
Shikamoo bamdogo😙
Hao Wahuni kama wahuni wengine tyuuu !😂Vijana wa siku wa ovyo sana Leo nilienda kidispensary kimoja hivi 😀
Nimeanza kupewa vikaratas vya namba mapokez,nimeingia Kwa Dokta nikaelekezwa maabara nmepimwa wa maabara kanipa namba nimpigie 😀😀nimerudi Kwa Dokta nimepewa namba Tena 😂😂
Sijui nianze kumpigia yupi😂😂ndo maana Ukimw hauish
Antonnia
Ba mdogo😊🤠🤠Shikamoo bamdogo😙
Washenzi balaa nimejiuliza ni wanawake wangapi kwasiku wanapenda😂😂😂Hao Wahuni kama wahuni wengine tyuuu !😂
Kheee kumbe ni bamkubwa au ni kasigazi😆😆😆Ba mdogo😊🤠🤠
We dogo unajifanya hupendi eeh.soma bro, shule kwanza😅 unawaza uzinzi
You are trying meShikamoo bamdogo![]()

Hahaha atapata; mbantu Bantu Lady alinipa mbinu ya video call mshikaji wake nisije ku- inniwa tenaAnakudai ya kusuka ujue!! 😁
Umeona uje untaje ukuVijana wa siku wa ovyo sana Leo nilienda kidispensary kimoja hivi 😀
Nimeanza kupewa vikaratas vya namba mapokez,nimeingia Kwa Dokta nikaelekezwa maabara nmepimwa wa maabara kanipa namba nimpigie 😀😀nimerudi Kwa Dokta nimepewa namba Tena 😂😂
Sijui nianze kumpigia yupi😂😂ndo maana Ukimw hauish
Antonnia
ananijaribu yaaniBa mdogo![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Afu hijabu lilinitroaa kweliii hahahaaa... yule na DPW humwambii kitu😁😁!Shangazi faiza kakutafutia mwarabu wa dp wedi
Wanawapenda wooooteee 😄Washenzi balaa nimejiuliza ni wanawake wangapi kwasiku wanapenda😂😂😂