Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,182
- 96,002
Achana nae.Mzee fanya hata mazoezi, uondoe chuki na ngebe😂🤣
View attachment 2697010
hiyo picha ilikuwa hapahapa mimi nilichofanya ni kuipest tuh,kumuonyesha kwamba hiyo anayodai kaifuta picha bado ipo
Anachosema Dr hyperkid ni sahihi kuna picha nyingi watu huwa wanasema wamefuta ila huwa zinaendelea kuwepo kwa mda flani .. huwa naziona picha nyingi sana walizofuta watu..Sawa ni mdogo, ila kwa Hilo tukio🤔. Una hisi nani ana shida🤔
🔥🔥🔥🔥🔥 upo dunia yako...
Naona una balance😁🤔🤣, au Jamaa ni waziri so una tafuta uchawa🤣🤣🤣Anachosema Dr hyperkid ni sahihi kuna picha nyingi watu huwa wanasema wamefuta ila huwa zinaendelea kuwepo kwa mda flani .. huwa naziona picha nyingi sana walizofuta watu..
Vyotee😍😍😍😍, huna bayaa😜Nisefike mimi pekee au na Ukwaju wangu😁
😅😅😅 .. ni kweli mkuu.. labda mlipo pishana yeye kui post tenaNaona una balance😁🤔🤣, au Jamaa ni waziri so una tafuta uchawa🤣🤣🤣
Bro Nina Akili mpaka najiogopa, naweza kusoma au kuona kilicho ndani au jificha🤣😂😂😅😅😅 .. ni kweli mkuu.. labda mlipo pishana yeye kui post tena
Education is the key of life, muhuni nikamaster u super courage the master key of life🤗.😅😅😅 siwezi kuwa chawaaa.... nina B.Eng in Mechanical Engineerning... Bsc in computer science.... Msc .... certification zimelala... sina vigezo vya kuwa chawaaa 😅😅😅
Na Huku umekujaa🙄Oyaaaaaaaa!
Nilikua wapi??Na Huku umekujaa![]()
Five??, I guess nitanunua kifaru ili niboreshe mbinu za wizi wangu😂🤣😅😅😅 within five year nitakuwa ni Dr. National Anthem .... kama ana mademu wakali nitakuwa chawaa wake.. elimu haina ubavu kwa mbususu
Kwa nini tena mkuu?mshamba_hachekwi na miss Ms eyes sema mkuu una tu fanyia racism😂🤣
Hii sio yangu😂Tuendelee kuselfika