Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485



basi hapo Hazard umeshafikiria vitu vingine
Hembu anza kwa kuweka tips hapa...ungefanya je?



basi hapo Hazard umeshafikiria vitu vingine
Hembu anza kwa kuweka tips hapa...ungefanya je?
Nimesema ungekuwa karibu na Mimi ningekusaidia kuacha..Sasa uko mbali haiewezekani.Hembu anza kwa kuweka tips hapa...ungefanya je?
Hamna leo sijakuona tu nikakumis![]()
Ile ya kitambo sanaMmmh labda ile ulivaa baibui ya black...kwenye hallway fulani hivi kama
Huyu mlevi MMoja ondoa shaka kabisa.


MakubwaKuna jamaa ashawahi wekewa kijibaruti kwenye sigara ili aache vuta sigara...




KaribuAisee itabidi nikutafute
😂😂😂Parody![]()


basi hapo Hazard umeshafikiria vitu vingine
Nimesema ungekuwa karibu na Mimi ningekusaidia kuacha..Sasa uko mbali haiewezekani.
Oohh asante nimekumiss pia dear,, leo ulikuwa chimbo lipi eti??
Huyu mlevi MMoja ondoa shaka kabisa.
Mwakani nitakupa mrejesho.
Ni rafiki yangu Sana,bado sijamalizana naye.
Hapo mwisho umemaliziaje!?
Na wewe??![]()
I can tell. Mad respect!Thanks.
You haven't even seen a quarter of it.
Let me not floss too much.
Mzee wa ATL
Kuna watu walichambwa kwa kumuita hivyo huko








🤣🤣🤣🤣
Niliona bana, ndo maana na mimi sikutaka kumaliziaa
Nyigu mama bado nasubiria ile ahadi yako ujue
Rafiki yangu kitambo Sana.Aisee kumbe mmeshakuwa marafiki??
Ee dada na mimi siku hizi nina uraibu!!