Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Naona kuna mtu alichelewesha posa!Kala posa kwingine sasa anadaiwa hapo...jiandae kuozeshwa kwa nguvu![]()
Last time nimehesabu zilivuka 220. Na kuna nyingine nimeongeza.Unazo ngapi?
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama Saint anne!
AiseeLast time nimehesabu zilivuka 220. Na kuna nyingine nimeongeza.
Ubatili mtupu.

Usiku mwema.Jamaaniii
Kwani mekufanya nini eti jamani auntie
Binti mlokoleee
Kwanini?Nikiwa mkubwa nataka niwe kama Saint anne!
Hivi sijawahi kuweka full eeh!?!!Looking good...leo iko ni full pic sio
Sanaaa...itabidi uanze kuniombeaHahahaah,sio sana
Kuhusu pombe?QSanaaa...itabidi uanze kuniombea
Mie namuangalia tuu jamani!!Mashukaaaa![]()
Kuhusu pombe?
Ningekuwa nawewe karibu ningekusaidia kuacha hata Bila maombi.
Upi huo?
Nitafute kule..utanikuta.