Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,750
- 145,504
Thanks.bro your collection is sick!
You haven't even seen a quarter of it.
Let me not floss too much.
Thanks.bro your collection is sick!
Hahaha...nakuzoom na cheko lako hilo![]()






kwa yule mrembo!Umeongea jambo la msingi sana jamani!Ila jokes aside, tulindeni afya zetu kwa gharama yoyote maana ndipo ulipo uhai wetu...
Watu wanatabika sana ambao afya zao zimeenda mrama, si kwa HIV tu bali na hata maradhi mengineyo yasiyo na tiba kwa sasa...
Kwa mtu anayeona uhai si kitu muhimu, hebu siku moja tukupe tour ya bure katika wodi za magonjwa haya...
Ukishaanza ona bati za kutu kutu
Juwa nyumbani Dar es saaalam iyo.
Wapi hiyo kaka??
Thanks.
You haven't even seen a quarter of it.
Let me not floss too much.





Kutoka kwa kina dula sasa mko kwa kina mwaj
Yaaniii uhangaike na kina mwajuma wa JF, uzae mtoto bado unanitishia ati unajiua baba J kweeliii?!



Teh teh teh teh teeeeeeeh!! Mkwe bwana!Hahah...sikuwa na nia hiyo...niliuliza jukwani ili na wapenda kuzurura duniani kama mimi wapate knowledge ya namna ya kusogea huko
Yaaniii uhangaike na kina mwajuma wa JF, uzae mtoto bado unanitishia ati unajiua baba J kweeliii?!
Na mimi naona.Kweli Mzee usituumize Moyo inatosha kwa Leo
![]()
Usitutishe bwana!Ila jokes aside, tulindeni afya zetu kwa gharama yoyote maana ndipo ulipo uhai wetu...
Watu wanatabika sana ambao afya zao zimeenda mrama, si kwa HIV tu bali na hata maradhi mengineyo yasiyo na tiba kwa sasa...
Kwa mtu anayeona uhai si kitu muhimu, hebu siku moja tukupe tour ya bure katika wodi za magonjwa haya...

...Kutoka kwa kina dula sasa mko kwa kina mwaj![]()
Unafikiri kakuacha basiiii, kina dula wanamchanganya tu kichwa. Akili zikirudi i hope it wont be too late. Kila jukwaa ana dula wakeMkwe...
Toka juzi si uliona sakayo anahaha na kina naniliu...
Ndio ujue kaniacha sasa.....
Uwe mshahidi tuu...



Niwacheeeee!Jamaaniii auntie!!
Asa wewe unalala saa moja aki unajua time mtu anaweza pita hapo akitokea Machakos
Ntakuwepo baadae hapo ila nitakaa kwa nje 🏃Ndio Depal...
MM ni Makao Makuu
Dar es Salaam, karma