Huwezi kosa mpya bossi lady usie na makuu!!Duh sina hata jipya mkuu !
Ndio ulikua unatumia username gani vilee???!
Huwezi kosa mpya bossi lady usie na makuu!!Duh sina hata jipya mkuu !
Ndio ulikua unatumia username gani vilee???!
mapembero vavene


acha kuharibu lugha yetu Kigi nakufundisha we mtoto wa posta na kkooacha kuharibu lugha yetu Kigi
Unajiuliza afu unajijibu dah!!!


Si kila siku mpya uduguuu lol nilijua utawabless miamba namie nioshepo macho kipenziii 😁!!Wewe tenaa?!! Zile nilizotuma zote 3 hazijakutosha?!! Udugu![]()
nakufundisha we mtoto wa posta na kkoo![]()
Si kila siku mpya uduguuu lol nilijua utawabless miamba namie nioshepo macho kipenziii!!
Hapana sina jipya mkuu!Huwezi kosa mpya bossi lady usie na makuu!!
Jana nilitupia kama zote mbona uduguuu!!Za ushindi wa Yanga hujatuma ujue usijisahulishe udugu
sawa!
nije tujibanze mahala basi pachaaa 😬😊😊Na mvua yote hii
Ndio nani huyo??Ila hii id yako km ya shem wangu Penseli mbona mnafanana uandishi
umetokea ukoo wa Sanga, Kyando, Mahenge, Chaula, Tweve, Luvanda, Pila, Lwila, Ndelwa, Mlelwa, Mbilinyi, Msigwa na Mbwilo?Mwalemi
Yani jf ids mpyaa kama zote sikuhizi !!Ila hii id yako km ya shem wangu Penseli mbona mnafanana uandishi
umenitupaaaYan wewe umenishinda
tuna bet tu 😅😅Tatizo humu hawaweki picha zao halisi!! Mie napenda mwanamke natural
Kweli udugu mbona nawewe uliziona kabisaaa !Muongo udugu![]()
umetokea ukoo wa Sanga, Kyando, Mahenge, Chaula, Tweve, Luvanda, Pila, Lwila, Ndelwa, Mlelwa, Mbilinyi, Msigwa na Mbwilo?



hujaacha kitu Yani jf ids mpyaa kama zote sikuhizi !!