Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hamna lipo vixuri kama la warwanda kusema kweli ww ni mzuri hata nyonyo hazijalala hongera sana 🫶🫶🫶.

Shavu lipo vyedi halijashuka sura ipo tight haina manyama ya ajabu

Upo gudo sana.

Shem unanijaza
Mbona wa kawaida bana
 
Wakafe mbelee... Siku akifunga mtoto mzuri mrembo Dr Lizzy ndio nitakubaliana na hoja yakoo... Alafu MTU kufunga PM ni kutojiamini tuuuu 😅😅😅... Kama unajiamini hubabaiki na messages za watu.. ndio maana huwa namkubali Sana cha ukorofi Nuzulati
Jamani National Anthem waache wafunge kuepuka usumbufu.

Sie wengine hatusumbuliwi, PM moja miezi 6....mbwembwe zakuweka🔒 tutapata wapi???🙄
 
Shem unanijaza
Mbona wa kawaida bana
🤣🤣🤣🤣 Kwa nilizoona humu ndani aseee upo top 3 nakuambia shem.

Acha tu kumbe nina shem mzuri hivi. Anyway mimi sikoseagi kabisa marafiki zangu wa kike wote ni wazuri kwanzia nilivyokuwa msingi hadi leo na hawakosi.


1. Sura
2. Shape

Na ww nimekuverify official ✅✅✅. Kama pisi kali
 
Hahahaaa... Unashangaa huyu anaeniita shangazi mbona ye kakomaa zaidi yangu kwaniii huo ushangazi who which when !!!

Wapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy !!

Acha tu humu hakuna wa kumuita mwenzie shangazi wala nyookoo ya aunt ni vibibi vilivyokosa matunzo tumejaa

Sijaona mtoto niwe mkweli mimi nasali dhambi nyingine za kujitakia SITAKI
 
Jamani National Anthem waache wafunge kuepuka usumbufu.

Sie wengine hatusumbuliwi, PM moja miezi 6....mbwembwe zakuweka🔒 tutapata wapi???🙄
Hapanaaaa hapanaaaa ( in mkojani voice )... Hawajiamini... Wamefunga PM Ila kutwa wanatusumbua PM... 😅😅😅... Leo pombe nayo kunywaaa naweza kosea adabu watu humu Acha ni logout
 
Kwa nilizoona humu ndani aseee upo top 3 nakuambia shem.

Acha tu kumbe nina shem mzuri hivi. Anyway mimi sikoseagi kabisa marafiki zangu wa kike wote ni wazuri kwanzia nilivyokuwa msingi hadi leo na hawakosi.


1. Sura
2. Shape

Na ww nimekuverify official . Kama pisi kali

Mhmm!! Hapo chacha
 
Back
Top Bottom