Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tu humu hakuna wa kumuita mwenzie shangazi wala nyookoo ya aunt ni vibibi vilivyokosa matunzo tumejaa

Sijaona mtoto niwe mkweli mimi nasali dhambi nyingine za kujitakia SITAKI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aseee nacheka kama fala hapa.


Ntawaamsha majirani umesema!!!!!

Kuna kibibi kilisema eti kuna naniliii ana umri wa kumzaa mi nilicheka vibaya sana kwani age difference ya 7 years ni kubwa kiasi hiko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Unanivunja mbavu shem aseee
 
Hapanaaaa hapanaaaa ( in mkojani voice )... Hawajiamini... Wamefunga PM Ila kutwa wanatusumbua PM... 😅😅😅... Leo pombe nayo kunywaaa naweza kosea adabu watu humu Acha ni logout
😆😆😆

Sasa sindo wamekuchagueni nyie wanaowaelewa!!!!🤓

Usikimbie bana....utakuja kuanguka uumie!😁
 
Aseee nacheka kama fala hapa.


Ntawaamsha majirani umesema!!!!!

Kuna kibibi kilisema eti kuna naniliii ana umri wa kumzaa mi nilicheka vibaya sana kwani age difference ya 7 years ni kubwa kiasi hiko


Unanivunja mbavu shem aseee

shem hebu niwacheeeee kwanza

Unasemaje?! Labda kwa Faiza hao wengine wanasingiziwa afu nipumzike niendelee na ratiba zingine. Nisije kumkwaa mtu bure humu na ugomvi siwezi
 
shem hebu niwacheeeee kwanza

Unasemaje?! Labda kwa Faiza hao wengine wanasingiziwa afu nipumzike niendelee na ratiba zingine. Nisije kumkwaa mtu bure humu na ugomvi siwezi
Unaogopa kumkwaa nani??

Ukimkwa mi nipo hapa yente yente 😊
 
😆😆😆

Sasa sindo wamekuchagueni nyie wanaowaelewa!!!!🤓

Usikimbie bana....utakuja kuanguka uumie!😁
Wanaofunga pm wapo hivyo 🥴😅😅😅
Hawajiamini

Wanagonganisha ma Subaru

Hawawezi kukataa wakiombwaaa namna ya kujilinda ni hiyo

Mengine ongezeaaa... Yapo masababu mengii.. atae jihisi ni mchawi tuuu kama wachawi wengine.. wadada wali alafu smart PM zao zipo wazo.. Ila ✌️✌️✌️✌️✌️✌️... Ouyoooooo
 
Unaogopa kumkwaa nani??

Ukimkwa mi nipo hapa yente yente

Humu sina adui hata mmoja wote kwangu nawaona vizuri tyu

Sema nisije kuongea kitu mwingine kikamgusa akahisi namsema kumbe mi niko kuongea tyu

Maana kuna raia zinajistukiaga bila sababu
 
Hio misuliii hioo ankoooo asabtreeeehh!!😍😍

Hakika reo naenda kuraraa usingizi mworoooooroooo kabesaaa!! ( kwa sauti ya kanda maalum☺️!!
Santo sana auntiee mzuri 😘😘 sleep tight.

Hapo nilikuwa nimetoka field choka kinoma. Nikaamua kusnap kidogo.


Sema kuna pisi kali 🤭🤭🤭 ntakusimulia kesho vizuri ulale thatha 🤗🤩😝
 
Back
Top Bottom