YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Unakaza sana.. utelezi sio wa kunitumia mie
Wala sikazi ndio hivyo bro kitu kimeziba kabisaa!! Sina hisia
Unakaza sana.. utelezi sio wa kunitumia mie
Me naenda kupikia chai🤭
Poa tu, telezi zenyewe hazina mpyaa.. acha nipambane na warembo wa kitaaa.. hawana mbwembweee nyingiiiMuelewe shogare![]()
Huyo mmama usimtaje bana!!!😑Akuche Kwa jina la Samia, haiwezekani naumia hivi moyoni 😐😐😐
Shogaaa nmebakiza kipande kidogo sana cha hisia nmemtunzia future
Kaeni navyoo.. kama vitawapa utajiri 😅😅😅Wala sikazi ndio hivyo bro kitu kimeziba kabisaa!! Sina hisia
Poa kaeni na miutelezi yenu.. siitaki wala nini ..![]()



Mie nateseka moyo tuuu 😭😭😭😭😭😭Huyo mmama usimtaje bana!!!😑
🤣🤣🤣
Ngoja nimchokoze chokoze tuone!
Khakhakhaaaa!! Sijui kwanini nimecheka lol!!Hamna wengine bas tyu piem anakua na uhuru wa kijinga, wengine watu wazima kabisaa
Sema tuache tyu nitunze privacy za watu
Hakuna shidaa.. 😎😎😎Yaani mecheka khaaaa!!!
Na wewe baki na mkia wako bro shida iko wapi?!!
Shogaaa nmebakiza kipande kidogo sana cha hisia nmemtunzia future
Nitapaka usoni niglowwwwwKaeni navyoo.. kama vitawapa utajiri 😅😅😅
Watu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe 🥴🥴🥴🥴🥴Khakhakhaaaa!! Sijui kwanini nimecheka lol!!
Pole dear kweli wastiri ya pm yaishie pm!!
Kaeni navyoo.. kama vitawapa utajiri![]()




vitatupa amani ya moyo na afya njema, yutiai itatukalia mbaliMmh kivuli changu eeeh 😎😎😎 hakikwepeki ni kama maji tuAnkoo wanguuu Penseli 4 nimeona kivuli chakoo ankoooo karibu tena na tena selfika ankoooo!!!
Nimefurahijeeee kukuonaaa tenaa sema nasinzia hapaaaa💤💤💤💤💤💤😴😴😴💤!!!
Nitapaka usoni niglowwwww
Nyíe vitoto buanaaa 😐😐😐😐Mimi nimemtunzia Yesu peke yake
Hovyoooo 😏😏😏😏😏vitatupa amani ya moyo na afya njema, yutiai itatukalia mbali
Khakhakhaaaa!! Sijui kwanini nimecheka lol!!
Pole dear kweli wastiri ya pm yaishie pm!!



Hahaha eti waliofunga pm hamna mtu ambaye hachat pm.Watu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe 🥴🥴🥴🥴🥴
Utani wa ngumii huu mjombaaa!!😊Watu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe 🥴🥴🥴🥴🥴
Shem hujambo nimependa komwe lako.Siwezi kuwaleta hata mtu anikwaze, kwanza wananiongezea siku za kuishi JF![]()
Aaah! Wapiiii... Kuna wanao jisikiiaaa akifunga anahisi yupo mawinguni... Hadi kuna magume gume kambale yanafungaaa... Ingawa kuna totoz zikifunga unasema saaaaaaaawaaaa 😅😅😅😅😅😅... Kama mzuri mzuri Antonnia huyuu sawa afungeee.. maana lolHahaha eti waliofunga pm hamna mtu ambaye hachat pm.
Tena mi nacgat na wengi waliofunga pm.
Mbona zitafunguka tu ila uwe tu mtu wa maana sasa kuwa mjinga mjinga uone kama utaweza fungua pm ya,,,,,,,,,,,, hivi hivi.
Weee si mchexo