YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Hahaha eti waliofunga pm hamna mtu ambaye hachat pm.Watu wanao funga PM wanaonaga wameyapatia maishaaa ya JF... Kumbe 🥴🥴🥴🥴🥴
Tena mi nacgat na wengi waliofunga pm.
Mbona zitafunguka tu ila uwe tu mtu wa maana sasa kuwa mjinga mjinga uone kama utaweza fungua pm ya,,,,,,,,,,,, hivi hivi.
Weee si mchexo