Selfika na JF: Snap it. Show it

Mazee kwenda kwenye nchi kama UK, Canada au Marekani kuna faida zake nyingi mno tu. Jambo la msingi ni kujenga daraja la kwenda na kurudi utakavyo. Sema tatizo wabongo tuna kawoga fulani hivi ambako siyo powa na kanaturudisha nyuma.
Sure, kingine sie wavivu wa kusaka information. Ila kama Una taarifa zote muhimu na ukajipanga unaenda huko... Sehemu inayobakia moyoni mwangu nje ya Tanzania huwa ni United Kingdom... Hayo maneno mawili tu ndio naweza nikaishi na kufurahia maisha yangu..
 
Mm naenda keshokutwa nikupitie😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…