Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nita mdakaa , baada ya pale alienda kusoma.. namfahamu hadi huwa namfuatilia kimyaa kimyaaa bila yeye kujua... Nitalala nae mbelee 😁😁😁..maana sina utajiri WA kuchoma hela yote hiyo
Ila sema ukweli braza, hivi hukutoa machozi hata kidogo baada ya hili tukio ?
Mimi hata nikiwa kwenye Pub huwa naumia sana navyotumia pesa yangu...
 
Ila sema ukweli braza, hivi hukutoa machozi hata kidogo baada ya hili tukio ?
Mimi hata nikiwa kwenye Pub huwa naumia sana navyotumia pesa yangu...
Niliumia sana, hasa baada ya kujua alinichezea mchezo.. Baadae akaja kuni please sana .. Ila akakwepa kabisa kunionaaa hadi siku anaondokaaa...😅😅😅.. kalikuwa kanapenda kuniita mentor, kumbe alikuwa ananiuaaa
 
Back
Top Bottom