Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,836
Anakuhus nini wewe wewe huna demu? Nipo singleshem vipi lakini, anaendeleaje
Anakuhus nini wewe wewe huna demu? Nipo singleshem vipi lakini, anaendeleaje
Embu lala ukoNije 😊😊
Ila sema ukweli braza, hivi hukutoa machozi hata kidogo baada ya hili tukio ?Nita mdakaa , baada ya pale alienda kusoma.. namfahamu hadi huwa namfuatilia kimyaa kimyaaa bila yeye kujua... Nitalala nae mbelee 😁😁😁..maana sina utajiri WA kuchoma hela yote hiyo
Dak za majeruhii hizi kijanaaa 😅😅😅.. ongeza forwardEmbu lala uko
dah, namjulia tu haliAnakuhus nini wewe wewe huna demu? Nipo single
Nakuja na wewdarlin unafeli,
dah😅
Hali anakujua? Mmm sitak mazoea na mpenz wangudah, namjulia tu hali
Ngoja niamke naend kuangalia mpiraDak za majeruhii hizi kijanaaa 😅😅😅.. ongeza forward
Huyu jamaa ni Lecturer wa MUST ?selfika lecturer wa MUST
Niliumia sana, hasa baada ya kujua alinichezea mchezo.. Baadae akaja kuni please sana .. Ila akakwepa kabisa kunionaaa hadi siku anaondokaaa...😅😅😅.. kalikuwa kanapenda kuniita mentor, kumbe alikuwa ananiuaaaIla sema ukweli braza, hivi hukutoa machozi hata kidogo baada ya hili tukio ?
Mimi hata nikiwa kwenye Pub huwa naumia sana navyotumia pesa yangu...
filter gani we mwenyewe ni filter tayari😂Nakuja na wew
Naiekea filter😂😂😂
Nakusubiria hapa ujue🤗Nije 😊😊
Ningekushauri kitu, ila ntakuwa navunja sheria za nchi...Niliumia sana, hasa baada ya kujua alinichezea mchezo.. Baadae akaja kuni please sana .. Ila akakwepa kabisa kunionaaa hadi siku anaondokaaa...😅😅😅.. kalikuwa kanapenda kuniita mentor, kumbe alikuwa ananiuaaa
dah, basi sawa hutaki kufahamiana tuje kusaidiana baadaeHali anakujua? Mmm sitak mazoea na mpenz wangu
nakudai ambayo macho hayajafunikwa😁Mimi tayari kitambo
Unisaidie nini mimi najiewezadah, basi sawa hutaki kufahamiana tuje kusaidiana baadae
Hata mimi namuona, anatoa msaada kama UNICEF kuwasaidia vijana mliopoteza mwelekeo.. 🤣