mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
na wewe utaselfika😂😂😂😂
We jamaa bana
Selfika tukuone
yangu kwa yako
na wewe utaselfika😂😂😂😂
We jamaa bana
Selfika tukuone
Na linaniumiza balaa, njoo unisaidie kulitoa 😂Asante mrembo😍😍
Ila hilo emoj linakuumiza kichwa
Nakuja chapNa linaniumiza balaa, njoo unisaidie kulitoa 😂
Kulalamika nini tena mkuuHaya Tumoghele sisi tupo hapa, tunasubiri uzi wa malalamiko tu....
😅😅😅Mapigo niliyopigwa vijana wa sasa hivi hawezi niingiza kingi.. sanasana mie nitawanyoooaaa.. kubwa zaidi kuna mmoja alishanipiga $1200 kutokea hapo nikapata haitakaa itokeee nikapigwaaa tenaaa.. na najua nitamkatakaaa sijaisemehee hiyo hela nitamla kwanzaaaBwahaha, mazee pole sana. Nacheka kama mazuri vile, naona na wewe uliliwa kichwa.....
Ndio, naiandaa hapana wewe utaselfika😂
yangu kwa yako
😂mhuni unaniruka saa hiiUtapataaa laaana kijanaaa 😅😅
No kiswahiliSio wa historia
Daah, kumbe unamkumbuka 🤣
😅😅😅 Lenie ndio anajua kama mie muhuni au unanichafua kisiasa😂mhuni unaniruka saa hii
Alichokutana nacho bwana HB akiwa anafanyiwa waxing...Kulalamika nini tena mkuu
Kama unakuja na vocha ndio nitafunguaNakuja chap
Ebu fungua pm nije
Haookuja kutokeaAlichokutana nacho bwana HB akiwa anafanyiwa waxing...
Wewe ni kijana mnyenyekevu kabisa😅😅😅 Lenie ndio anajua kama mie muhuni au unanichafua kisiasa
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Bagoshaaa! Mimi mpaka ukanitoa pesa mfukoni aisee, wewe basi utakuwa unakaribia kufa. Hivi unanitoaje dola 1200 kiwepesi kabisa ? Unaanzia wapi ?😅😅😅Mapigo niliyopigwa vijana wa sasa hivi hawezi niingiza kingi.. sanasana mie nitawanyoooaaa.. kubwa zaidi kuna mmoja alishanipiga $1200 kutokea hapo nikapata haitakaa itokeee nikapigwaaa tenaaa.. na najua nitamkatakaaa sijaisemehee hiyo hela nitamla kwanzaaa
Alitengeza mkasa, Kwa namna nilivyobwege nikaingia kwenye 18 za uongo wake.. dogo alikuwa mkali anajua kudekaa.. nahisi alizila na msela wake wake.. alitengeza ajari.. ikawa nitumie hiki nifanye hiki.. kuja kushtuka baadae mzigo ushagotaaa juuu 😅😅😅😅Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Bagoshaaa! Mimi mpaka ukanitoa pesa mfukoni aisee, wewe basi utakuwa unakaribia kufa. Hivi unanitoaje dola 1200 kiwepesi kabisa ? Unaanzia wapi ?
wacha nibaki aunt zone nifaidi vibuku buku😂Ukikua utavikuta totoo😴
unajifanya hukumbuki ule uzi wake sio😂Wewe ni kijana mnyenyekevu kabisa
mshamba_hachekwi cha kumchafua huyu mtu
Ase ungekuwa mwanangu ningekuchapa mpaka usivae macheni yako hayo kabisahii imephotoshop-iwa😅
View attachment 2694733
Kijana mdogo ila usumbufu huku ndani😂🥰hii imephotoshop-iwa😅
View attachment 2694733