Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,393
Nitakufa kwa laaana yako wewe 🤣🤣Na ukatuote na shangazi yakooo.. tunavyokataaa upepo 😅😅😅
Nitakufa kwa laaana yako wewe 🤣🤣Na ukatuote na shangazi yakooo.. tunavyokataaa upepo 😅😅😅
Pacha wangu
😅😅😅 Mkali zaidi upo kisogoniAhahhah una uwalaza wakukupiga kofi naomba nikupige banz
partner in crime👊🏾
❤️❤️❤️😍😍😍😍Pacha wangu
mwanaume unapaka face mask😂🚮
Selfika full mku😅😅😅 Mkali zaidi upo kisogoni
Dogo tusizoeanemwanaume unapaka face mask😂🚮
Atakwambia amefungua saluni au duka la vipodozi...mwanaume unapaka face mask😂🚮
Uwanjan hapaHunioni wapi ? Tajiri.
Naskia mnafanyiwa hadi waxing na kuogeshwa huko Dar ?Dogo tusizoeane
Kwaza dar ni kawaida sana
😅😅😅 Ya 2012 ilikuwa na misalaaa... Hatari.. kuna dogo mmoja aligombanisha na afande mmoja hiyo 2012.. kumbe afande alikuwa kanizi uhuni... 2012 ilikuwa na matukio ya sasa hivi yakasome...Kuna madogo wajuaji waliingia kichwa-kichwa miaka kuanzia 2012, aisee waliliwa vichwa.
Wenyewe walidhani kila mtu ni akisema ana gari basi lazima atakuwa bwanyenye fulani hivi.
Baadhi walipewa ahadi ya kupelekwa Marekani na Ulaya, lakini wakaishia pale Sinza kumekucha.
unaona inavouma😂Dogo tusizoeane
Kwaza dar ni kawaida sana
Nipo nazurula mpaka nimalize majukwaa yote ndio nilale.Uwanjan hapa
Nakuja ghetto utaniona vizuri Hadi unyayooo 😅😅😅Umekata sana bana, shusha chini🥰
Kabisa mkuu hakuna ugumu wowote ule ndio maana sisi ni maHbNaskia mnafanyiwa hadi waxing na kuogeshwa huko Dar ?
Sijaumia ww umeona nimeumiaunaona inavouma😂
Fidodido mzushi Sana Yule katuni 😅😅😅Basi ni katuni moja hivi imenyoa denge kali kama lako...