Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nauza
20230713_155025.jpg
 
Mkuu humu JF ni kuzidiana kete.. Yani Me wa humu na Ke wa humu wana viziana hatari... Anaekosea hesabu analiwa kichwaa... Kuna mambo mazito sana nyuma yanaendeleaga.. sababu ya kutoka ukatibu na watu nisio elewa nilishaingia mkenge hatari sana humu.. sito toa story yake Ila ilikuwa ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥... Kisa huruma za kusaidia usichokijua... Kuanzia hapo .. nawachukuliaga kama wanavyo kujaaa
Kuna madogo wajuaji waliingia kichwa-kichwa miaka kuanzia 2012, aisee waliliwa vichwa.
Wenyewe walidhani kila mtu ni akisema ana gari basi lazima atakuwa bwanyenye fulani hivi.
Baadhi walipewa ahadi ya kupelekwa Marekani na Ulaya, lakini wakaishia pale Sinza kumekucha.
 
Back
Top Bottom