Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Yanachosha haraka tatizoYanapendeza ila siyapendi!!!![]()
Yanachosha haraka tatizoYanapendeza ila siyapendi!!!![]()
Namalizia kwenda kwa Dr Lizzy kulipakuwa
Huu mguu hautoki na hotpot lililojaa pilauView attachment 2692383
Hiyo von Shingapi?Uhhhhh!!! The cake looks extra yummy!!😍😍
Kweli huwa inachosha...labda itokee uwe umemiss sana pishi lako mwenyewe!!🥴
Njoo tule pilau sasa.....
View attachment 2692308
Kufunga mtandioo kichwani leo nilikua kwa mwenye Halmashauri yake nimepiga jarabibibii sijui ndio hijabu au jubaaa mnaita mi sijui hata😊😊😁!! mtandio kichwani haukai Kabisaaaa!!Kufunga kilemba au,?
Cousin hv vitu vina wenyewe....mimi kilemba kilinishinda nafungaga kama wabibi napita hv 😀😀😀Kufunga mtandioo kichwani leo nilikua kwa mkurugenzi nimepiga jarabibibii sijui ndio jubaaa mnaita mi hata sijui 😊😊😁!! mtandio kichwani haukai Kabisaaaa!!
Yaniii!! Ile asubuhi nikataka nikuulize cuzooo hivi wee ni muislam eehhh, hebu fanya kuja kuokoa jahazi hapaaaa ni dakika sifuri huooo mtandio umepereruka ..😁😁😁😊!Cousin hv vitu vina wenyewe....mimi kilemba kilinishinda nafungaga kama wabibi napita hv 😀😀😀
Medical herbs.Nini hiki
BangeMedical herbs.
Sikumbuki kwakweli....kachungulie dukani kwao pale Mlimani.Hiyo von Shingapi?
No bange ni uchafu hii ni medical sativa.Bange
OkNo bange ni uchafu hii ni medical sativa.
Cuzo me nmeokoka nampenda Yesu 😀😀😀Yaniii!! Ile asubuhi nikataka nikuulize cuzooo hivi wee ni muislam eehhh, hebu fanya kuja kuokoa jahazi hapaaaa ni dakika sifuri huooo mtandio umepereruka ..😁😁😁😊!
Ooh pole sana nimechelewa njia rahis uwe na zile Pini unabana kichwani unajifunika kimtindo hautokiKufunga mtandioo kichwani leo nilikua kwa mwenye Halmashauri yake nimepiga jarabibibii sijui ndio hijabu au jubaaa mnaita mi sijui hata😊😊😁!! mtandio kichwani haukai Kabisaaaa!!
😂😂😂Cuzo me nmeokoka nampenda Yesu 😀😀😀
Ila mitandio Ina wenyewe Akina Swaumu