Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yan kuna muda ukiwaza uspend lisaa jikoni, na mlaji ni wewe tu. Uvivu unajaa chupa 🤣

Njoo tuonje kakeki wakati tunangoja pilau iiveView attachment 2692245
Uhhhhh!!! The cake looks extra yummy!!😍😍

Kweli huwa inachosha...labda itokee uwe umemiss sana pishi lako mwenyewe!!🥴

Njoo tule pilau sasa.....
20230718_202339.jpg
 
Siku tatu nakimbilia wapi?[emoji3064]
Mwee Dokta ,Wakati nataka iwe mwezi kabisa[emoji23][emoji174]

Yule ntamleta akae hata mwezi.
Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏

🤣🤣🤣🤣🤣
Mwezi si atajua mpaka ashinde walimu??? Tumpe wiki tu inamtosha!!!!!
 
Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏

🤣🤣🤣🤣🤣
Mwezi si atajua mpaka ashinde walimu??? Tumpe wiki tu inamtosha!!!!!
Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa moja😂😂😂😂💔


Wiki 2 zitamtosha
Hapa nawaza kula,sijui kinalika chakula kweli🥺
Na Nina njaa
 
Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa moja😂😂😂😂💔


Wiki 2 zitamtosha
Hapa nawaza kula,sijui kinalika chakula kweli🥺
Na Nina njaa
Jamani poleee!!!!🙁🙁
I can imagine unavyopata mawazo muda wa kula ukikaribia na una njaa.😵😵

🤣🤣🤣🤣
Chumba cha wageni kipo!! Chamsingi uwe tayari kula lunch/dinner muda wowote, usije ukanisema kwa watu nakutesa!🙃😁
 
Jamani poleee!!!!🙁🙁
I can imagine unavyopata mawazo muda wa kula ukikaribia na una njaa.😵😵

🤣🤣🤣🤣
Chumba cha wageni kipo!! Chamsingi uwe tayari kula lunch/dinner muda wowote, usije ukanisema kwa watu nakutesa!🙃😁
Jikoni si kupo wazi lakini?😂😂😂😂

Yaani amepika ndizi nyama
Ngoja nijikaze Nile hivyohivyo,njaa isije kuniua.
 
Back
Top Bottom