Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Siku tatu nakimbilia wapi?Sio siku tatu...???
Uje na yule mdada tumfundishe kidogo!![]()

Mwee Dokta ,Wakati nataka iwe mwezi kabisa


Yule ntamleta akae hata mwezi.
Siku tatu nakimbilia wapi?Sio siku tatu...???
Uje na yule mdada tumfundishe kidogo!![]()



Ahhh hili lipozi naliiba!!!🤩🤩Ameniziba
Mmasai wangu View attachment 2692264
Limetoka nilivyotaka 💯Ila leo ulizidish maji
Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏Siku tatu nakimbilia wapi?
Mwee Dokta ,Wakati nataka iwe mwezi kabisa
Yule ntamleta akae hata mwezi.
Kumbe ila linaonekana tamu kabisLimetoka nilivyotaka 💯
Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa moja😂😂😂😂💔Ukikaa muda mrefu utapamiss sana kwenu ujue!!!😏😏
🤣🤣🤣🤣🤣
Mwezi si atajua mpaka ashinde walimu??? Tumpe wiki tu inamtosha!!!!!
Mwambie hata kuandika hajuiMjep Depal mshamba_hachekwi Poor Brain DeepPond manzi ya Arusha inataka kuniua kisa cool boy poa tu View attachment 2689995
Alisema amesuka katikati tuTuone😂😂😂
Tuoneshe pilau BasiYan kuna muda ukiwaza uspend lisaa jikoni, na mlaji ni wewe tu. Uvivu unajaa chupa 🤣
Njoo tuonje kakeki wakati tunangoja pilau iiveView attachment 2692245
BeautifulView attachment 2692282
For 5 mins⏳😄😄
HahahahaMnyanduano day
Jamani poleee!!!!🙁🙁Wakati nataka ikiwezekana nihamie moja kwa moja😂😂😂😂💔
Wiki 2 zitamtosha
Hapa nawaza kula,sijui kinalika chakula kweli🥺
Na Nina njaa
Jikoni si kupo wazi lakini?😂😂😂😂Jamani poleee!!!!🙁🙁
I can imagine unavyopata mawazo muda wa kula ukikaribia na una njaa.😵😵
🤣🤣🤣🤣
Chumba cha wageni kipo!! Chamsingi uwe tayari kula lunch/dinner muda wowote, usije ukanisema kwa watu nakutesa!🙃😁
Qhhahah dah watu mnakejeli aseeeMwambie hata kuandika hajui
Wewe sijui unakwama wapiHahahaha
Yah ila duh nilisikia.sauti moja tu yeeee yeee watu wamekuja pale top mpka nikajiuliza hawa watu wametoka wapinenda nao kwa upole aisee ni wakorofi
ALWAYS!!!! Yani ni wewe tu na mood yako!Jikoni si kupo wazi lakini?😂😂😂😂
Yaani amepika ndizi nyama
Ngoja nijikaze Nile hivyohivyo,njaa isije kuniua.