Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na kinywaji chake kitamu sema wewe kitakuondolea upako hakikufai
Inaendana na soda na mimi nijaribu?
Inaonekana tamu jamani nyie 🤭


Kuna mtu alinambia Binti mdogo unajibana
Ilikuwa kuhusu kusikiliza bongo fleva
,Anasema we sikiliza tu, siku ya mwisho Mungu ataweka mambo kwenye mzani,,utakapoegemea ndo hukohuko
We mzani wako bado upo sana kwenye dini🤣,nyimbo tu haziwezi badili
 
Back
Top Bottom