Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Thanks dearšBiurifoo š
Thanks dearšBiurifoo š
Kwakwel walevi wana upendo wa dhati sanaš
Mimi huwa nawaambia watu kanisani kuwa tujifunze Upendo wa walevi.
Walevi wanashirikiana sana aisee,,hawezi muacha mwenzie aondoke na kiu.
Nilifutaga zote
2017
It was a hard decision,ila niliweza.
Nakumbuka nikawaambiaga nyumbani mm nimeachana na bongofleva,wakadhani natania.
Na wewe unarudia maneno yaleyale niliyoambiwa juzi,,
Yaani nimecheka.
Yule anasema tutoe sadaka kwa wingiKwakwel walevi wana upendo wa dhati sana
Ndio maana hua wanaishi maisha marefu
Mbinguni tutapewa miili na nafsi mpya, hii ya sasa itasafishwa tutakua wapya.
So ni vema kuenjoy maisha mradi hutendi dhambi wala humkwazi mtu kwa makusudi








Rangi ya gauni

Heee jaman huo ni uwizi š¤£š¤£š¤£Yule anasema tutoe sadaka kwa wingi
Zitafukia hizi dhambi ndogondogo![]()
Nakukataliaga Sana Hilo swala lako la kesema wewe kulewa huweziKwanza Mimi kulewa siwezi.
Inauzwa sh ngapi?
Hata nikilewa kidogo si mbaya, Nina stress mbili tatu hapa, hiyo inaweza saidia.
Nilicheka
Eti wewe pombe hunywi
Mziki nao hutaki kusikiliza,kijana mdogo unajibana![]()
Flying fish ni mbaya, me sikuipenda. Ina sukari sana
Nimeacha leo lakini kichwa sio changu kabisa hapaFlying fish ni mbaya, me sikuipenda. Ina sukari sana
Chapa vyombo chief
Naogopa.kulewa mzee.hapa sijielew kichwa kinabangua nakunywa maji mkuuChapa vyombo chief
Selfika tukuone unavyochapa vyombo
Mie nasubiri yakoOngeza ya mwisho sasa dada
Watu tulale mubashara tukiwa tumeosha macho
Piga maji kichwa kitakaa sawa, endeleza vyombo hadi utoke unatambaa hapoNimeacha leo lakini kichwa sio changu kabisa hapa
MmmhPiga maji kichwa kitakaa sawa, endeleza vyombo hadi utoke unatambaa hapo
Sina ata wakunibebea simu udugu hapa nipo alone tuPiga maji kichwa kitakaa sawa, endeleza vyombo hadi utoke unatambaa hapo
Anitaki mema kabisaMmmh
YaanAnitaki mema kabisa
Acha kabisa mkuuYaan