Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi huwa nawaambia watu kanisani kuwa tujifunze Upendo wa walevi.


Walevi wanashirikiana sana aisee,,hawezi muacha mwenzie aondoke na kiu.



Nilifutaga zote
2017
It was a hard decision,ila niliweza.
Nakumbuka nikawaambiaga nyumbani mm nimeachana na bongofleva,wakadhani natania.

Na wewe unarudia maneno yaleyale niliyoambiwa juzi,,
Yaani nimecheka.
Kwakwel walevi wana upendo wa dhati sanašŸ˜
Ndio maana hua wanaishi maisha marefu

Mbinguni tutapewa miili na nafsi mpya, hii ya sasa itasafishwa tutakua wapya.
So ni vema kuenjoy maisha mradi hutendi dhambi wala humkwazi mtu kwa makusudi
 
Kwakwel walevi wana upendo wa dhati sana
Ndio maana hua wanaishi maisha marefu

Mbinguni tutapewa miili na nafsi mpya, hii ya sasa itasafishwa tutakua wapya.
So ni vema kuenjoy maisha mradi hutendi dhambi wala humkwazi mtu kwa makusudi
Yule anasema tutoe sadaka kwa wingi
Zitafukia hizi dhambi ndogondogo
 
Nimeacha flying fish Mjep Lenie Depal
20230716_232603.jpg
 
Back
Top Bottom