Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Ina ladha kama juice ya strawberry Ila ndio ina alcohol 4.5Inaendana na soda na mimi nijaribu?
Inaonekana tamu jamani nyie 🤭
Kuna mtu alinambia Binti mdogo unajibana
Ilikuwa kuhusu kusikiliza bongo fleva
,Anasema we sikiliza tu, siku ya mwisho Mungu ataweka mambo kwenye mzani,,utakapoegemea ndo hukohuko
We mzani wako bado upo sana kwenye dini🤣,nyimbo tu haziwezi badili
🤣🤣 Ni kweli jamani vitu vingine mtu unadhulumu nafsi.
Mwisho wa siku vitaeleweka tu huko mbele ya safari







