Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Inaendana na soda na mimi nijaribu?
Inaonekana tamu jamani nyie 🤭


Kuna mtu alinambia Binti mdogo unajibana
Ilikuwa kuhusu kusikiliza bongo fleva
,Anasema we sikiliza tu, siku ya mwisho Mungu ataweka mambo kwenye mzani,,utakapoegemea ndo hukohuko
We mzani wako bado upo sana kwenye dini🤣,nyimbo tu haziwezi badili
Ina ladha kama juice ya strawberry Ila ndio ina alcohol 4.5

🤣🤣 Ni kweli jamani vitu vingine mtu unadhulumu nafsi.
Mwisho wa siku vitaeleweka tu huko mbele ya safari
 
Ina ladha kama juice ya strawberry Ila ndio ina alcohol 4.5

Ni kweli jamani vitu vingine mtu unadhulumu nafsi.
Mwisho wa siku vitaeleweka tu huko mbele ya safari
Kwanza Mimi kulewa siwezi.

Inauzwa sh ngapi?
Hata nikilewa kidogo si mbaya, Nina stress mbili tatu hapa, hiyo inaweza saidia.



Nilicheka
Eti wewe pombe hunywi
Mziki nao hutaki kusikiliza,kijana mdogo unajibana
 
Kwanza Mimi kulewa siwezi.

Inauzwa sh ngapi?
Hata nikilewa kidogo si mbaya, Nina stress mbili tatu hapa, hiyo inaweza saidia.



Nilicheka
Eti wewe pombe hunywi
Mziki nao hutaki kusikiliza,kijana mdogo unajibana
Unajilewea ndani kama hivi zikipanda kichwani unakimbilia kitandani unajifunika usingizi huo, ukiamka kesho stress zishaisha.

Usijibane sana, hadi bongo fleva jamani zina kosa gani😂

Hizi nililetewa na mtu toka SA, kwa huku sijajua kama ipo.
Ila kwa wewe ukizipata itakufaa maana ni tamu kama juice😋
 
Unajilewea ndani kama hivi zikipanda kichwani unakimbilia kitandani unajifunika usingizi huo, ukiamka kesho stress zishaisha.

Usijibane sana, hadi bongo fleva jamani zina kosa gani

Hizi nililetewa na mtu toka SA, kwa huku sijajua kama ipo.
Ila kwa wewe ukizipata itakufaa maana ni tamu kama juice
Mwee Lenie nigawie
Hiyo kweli itakuwa tamu,chupa yake tu inaonekana

Mambo ya South hayo


Yaani
Sema shetani mbaya,nimeanza kurudisha nyimbo mojamoja kwenye simu
Zile beats Kali za kina Pfunk kwa kweli,hakuna atakayepinga zilivyokuwa Kali.
 
Mwee Lenie nigawie
Hiyo kweli itakuwa tamu,chupa yake tu inaonekana

Mambo ya South hayo


Yaani
Sema shetani mbaya,nimeanza kurudisha nyimbo mojamoja kwenye simu
Zile beats Kali za kina Pfunk kwa kweli,hakuna atakayepinga zilivyokuwa Kali.
Walevi tunapendana hatuna baya, mtu akikutana na pombe nzuri huko duniani anakuletea uonje ladha mpya🤣🤣
Mwee hapa umebaki moja nitaamka nayo kesho kama itafanikiwa kubaki😋
Akiniletea zingine nitakupatia

Kwahyo nyimbo ilikua umezifuta kweli🤣🤣
Hee jamani hujazeeka kiasi hiko bana, matendo mema yatakulinda
 
Walevi tunapendana hatuna baya, mtu akikutana na pombe nzuri huko duniani anakuletea uonje ladha mpya
Mwee hapa umebaki moja nitaamka nayo kesho kama itafanikiwa kubaki
Akiniletea zingine nitakupatia

Kwahyo nyimbo ilikua umezifuta kweli
Hee jamani hujazeeka kiasi hiko bana, matendo mema yatakulinda

Mimi huwa nawaambia watu kanisani kuwa tujifunze Upendo wa walevi.


Walevi wanashirikiana sana aisee,,hawezi muacha mwenzie aondoke na kiu.



Nilifutaga zote
2017
It was a hard decision,ila niliweza.
Nakumbuka nikawaambiaga nyumbani mm nimeachana na bongofleva,wakadhani natania.

Na wewe unarudia maneno yaleyale niliyoambiwa juzi,,
Yaani nimecheka.
 
Back
Top Bottom