Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
Dada mbona umeniweza uku Arusha chakula si Shibi kabisa nije uko unipikie sotojo
Dada mbona umeniweza uku Arusha chakula si Shibi kabisa nije uko unipikie sotojo
😆😆😆😆😆Huyo nitazaa naye, kuna id nazisubiria aingie tu ninaye khenghe yule.
Nikimalizana naye naanza na wale wazee wasiotaka kuuzeka
Halafu nanyie hicho kijemba ni cha kung'ang'aniwa miaka yote?mnaniua mbavu lakini
Tunatoana mate huku aloo 😋😋
🤣🤣Dah uje na izo sometimes mzee ila arusha vyakula bei wali 4000 af haushibi
Nani anakang'ang'ania??Halafu nanyie hicho kijemba ni cha kung'ang'aniwa miaka yote?
Fambaf kabisa...mnanichosha
Hahah karibu usogee mitaa hiiTunatoana mate huku aloo 😋😋
ngoja nimtafute anipe copy yangu aisee😂😂😂😂😂😂
Ameenda kukusanya mafile
Kaa mkao wa kula
Hivi ni kafupi au?Nani anakang'ang'ania??
Si tulishakatema, tatizo hakatemeki.. hakaamini km kalikula wa chuya![]()
🤣🤣🤣🤣 af kaneneHivi ni kafupi au?
Ka hovyo balaa
I kanti foshuaaaaaa
Ila give him/ her/ it deserves
Maana sijui ni kamtu au kapapai![]()
Asante nakujaa😋Hahah karibu usogee mitaa hii
Kudadeki nakwambia hivi sinunui chakula tena nitakula matunda tu gest nimevumilia 30k ila chakula.hapana🤣🤣
Ujue hapo hiyo soseji 1 ni elf 2500
Sio Dar huku unapata soseji za jero jero
Chips kavu tamu elf 3
Utakoma nakwambia
Sasa dada yake baba alipewa nini?af kanene
Wee usiniambie 😀😀mbona Bei ghali🤣🤣
Ujue hapo hiyo soseji 1 ni elf 2500
Sio Dar huku unapata soseji za jero jero
Chips kavu tamu elf 3
Utakoma nakwambia
Lenie umesikia sosje 2500 mimi uku nakonda kabisa njaa inauma sielewi.kabisaTunatoana mate huku aloo 😋😋
Ungejichanganya kijanaMjep Depal mshamba_hachekwi Poor Brain DeepPond manzi ya Arusha inataka kuniua kisa cool boy poa tu View attachment 2689995
Karibu sanaDada mbona umeniweza uku Arusha chakula si Shibi kabisa nije uko unipikie sotojo
Ningechinjwq vibaya sanaUngejichanganya kijana
Nakuja tajiri wa rohoKaribu sana