Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,140
Ahahahahha tungekusahauNingechinjwq vibaya sana
Ahahahahha tungekusahauNingechinjwq vibaya sana
Nikikwambiaga tafuta hela udugu unahisi nakusanifu🤣🤣Lenie umesikia sosje 2500 mimi uku nakonda kabisa njaa inauma sielewi.kabisa
hizi soseji wazikate kate, la sivyo mmh
Ahahhaha mimi bhna nataka kurudi darNikikwambiaga tafuta hela udugu unahisi nakusanifu🤣🤣
Una nauli?😂Ahahhaha mimi bhna nataka kurudi dar
Wee usiniambie 😀😀mbona Bei ghali
Sina fanyeni mnichangie watu wa dar mnirudishe kwetu uku si Shibi Mzee wa kupambaniaUna nauli?😂
Kwakweli tubaki tu vijijini huko tutakufa njaaTushazoea
Wanasema km unajiona una pesa, kuja na uspend Arusha 🤣🤣
Sema hiyo ni Njiro... wanajishaua sana
Town huko Sakina, Mrombo sijui vipo mpk chips za kupima jero
Khaaa wewe mimi sitak.tena arushaTushazoea
Wanasema km unajiona una pesa, kuja na uspend Arusha 🤣🤣
Sema hiyo ni Njiro... wanajishaua sana
Town huko Sakina, Mrombo sijui vipo mpk chips za kupima jero
😂😂😂Lenie umesikia sosje 2500 mimi uku nakonda kabisa njaa inauma sielewi.kabisa
Embu sikia ninunulie chakula mm nishibe na njaa bhna😂😂😂
2500 mara 2 5000
Chips kavu 3000
Foil box 500
Ukitaka nenda Morombo huko 😂
Huku wali samaki elf 7
Ule ama ule wali maharage elf 2000 ama ushinde na njaa View attachment 2690148
Unaziona kama dudu la yuyu 🤣🤣🤣hizi soseji wazikate kate, la sivyo mmh
30k umevumilia 😳😂Kudadeki nakwambia hivi sinunui chakula tena nitakula matunda tu gest nimevumilia 30k ila chakula.hapana
Wewe si ulikuwa unajitapa hapa kuwa usiku hautakiwi kushiba sana komaa sasaSina fanyeni mnichangie watu wa dar mnirudishe kwetu uku si Shibi Mzee wa kupambania
ndo mana hujazikata kata eeh, shenzi kabisaUnaziona kama dudu la yuyu![]()



🤣🤣🤣 we kijana ni wa hovyoondo mana hujazikata kata eeh, shenzi kabisa![]()
Ndio usingizi ni ule ule tu bhna30k umevumilia 😳😂
Unataka za 10k ili upate na kunguni ehee?
Mh uku barid so natakiw kula.sana as2Wewe si ulikuwa unajitapa hapa kuwa usiku hautakiwi kushiba sana komaa sasa
Mhh hapanaNdio usingizi ni ule ule tu bhna
Leo mbona hamna baridi? Nipo na khanga tu.Mh uku barid so natakiw kula.sana as2