Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230715_131420.jpg
 
Ndyoooo dada akee, [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
Kipotableee. Pendezaa sanaaa.
Kuna muda nakuwaga mwembamba
Muda mwingine mnene

Hata sijielewi[emoji23][emoji174]

Halafu siku mtakayovaa nguo yoyote tu ambayo sikupanga ndo huwa naambiwa nimependeza
Ila sasa sijui nikijiandaaa ndo natoa boko[emoji23]
Kma Ile gauni ya blue juzi
Sikuambiwa nimependeza..
Ila sasa nyingine ambazo navaaga tu from no where ,nasifiwa[emoji1787]
 
Kuna muda nakuwaga mwembamba
Muda mwingine mnene

Hata sijielewi[emoji23][emoji174]

Halafu siku mtakayovaa nguo yoyote tu ambayo sikupanga ndo huwa naambiwa nimependeza
Ila sasa sijui nikijiandaaa ndo natoa boko[emoji23]
Kma Ile gauni ya blue juzi
Sikuambiwa nimependeza..
Ila sasa nyingine ambazo navaaga tu from no where ,nasifiwa[emoji1787]
Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada usinicheksshee. Sasa uwe unatupia pigo hizoo mbna utasikia "psii psiii psii" woiiiih
 
Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada usinicheksshee. Sasa uwe unatupia pigo hizoo mbna utasikia "psii psiii psii" woiiiih
Khaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Nguo nazipenda Mimi watu hawazipendi ila zile nisizopenda sasa🙌
Tukiendaga dukani na dada zangu wanasemaga yaani wewe nguo hujui🤣
Nzuri kwao mbaya,mm mbaya wao nzuri.
 
Back
Top Bottom