Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndyoooo dada akee,
Kipotableee. Pendezaa sanaaa.
Kuna muda nakuwaga mwembamba
Muda mwingine mnene

Hata sijielewi

Halafu siku mtakayovaa nguo yoyote tu ambayo sikupanga ndo huwa naambiwa nimependeza
Ila sasa sijui nikijiandaaa ndo natoa boko
Kma Ile gauni ya blue juzi
Sikuambiwa nimependeza..
Ila sasa nyingine ambazo navaaga tu from no where ,nasifiwa
 
Kuna muda nakuwaga mwembamba
Muda mwingine mnene

Hata sijielewi

Halafu siku mtakayovaa nguo yoyote tu ambayo sikupanga ndo huwa naambiwa nimependeza
Ila sasa sijui nikijiandaaa ndo natoa boko
Kma Ile gauni ya blue juzi
Sikuambiwa nimependeza..
Ila sasa nyingine ambazo navaaga tu from no where ,nasifiwa
Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee?
Dada usinicheksshee. Sasa uwe unatupia pigo hizoo mbna utasikia "psii psiii psii" woiiiih
 
20230715_155658.jpg
 
Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee?
Dada usinicheksshee. Sasa uwe unatupia pigo hizoo mbna utasikia "psii psiii psii" woiiiih
Khaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Nguo nazipenda Mimi watu hawazipendi ila zile nisizopenda sasa🙌
Tukiendaga dukani na dada zangu wanasemaga yaani wewe nguo hujui🤣
Nzuri kwao mbaya,mm mbaya wao nzuri.
 
Back
Top Bottom