Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Bado ila natamani!!!☺️Dr. Unamiliki bajaji?😁
Bado ila natamani!!!☺️Dr. Unamiliki bajaji?😁
Ngoja ntazicheki kule E-Bay !And now....??
Tafuta tuvae sare Old Blood!😁
inaonekana bata zako bila bajaji hazijabamba😂😂 au sio!Bado ila natamani!!!☺️

Mtoto mkali kabisa.
Wapiii hapa brohhzzz??
Ndyoooo dada akee,




Kuna muda nakuwaga mwembambaNdyoooo dada akee,
Kipotableee. Pendezaa sanaaa.




Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee?Kuna muda nakuwaga mwembamba
Muda mwingine mnene
Hata sijielewi
Halafu siku mtakayovaa nguo yoyote tu ambayo sikupanga ndo huwa naambiwa nimependeza
Ila sasa sijui nikijiandaaa ndo natoa boko
Kma Ile gauni ya blue juzi
Sikuambiwa nimependeza..
Ila sasa nyingine ambazo navaaga tu from no where ,nasifiwa![]()




Ni hela tu sina.....inaonekana bata zako bila bajaji hazijabamba😂😂 au sio!
Khaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa wee ile shamba dress ya Loleza nani akusifiee?
Dada usinicheksshee. Sasa uwe unatupia pigo hizoo mbna utasikia "psii psiii psii" woiiiih
Unazo ndio maana umepanda hiyo mremboNi hela tu sina.....
Our handsome boy
Kweli nisikufuru!!!😊Unazo ndio maana umepanda hiyo mrembo