Selfika na JF: Snap it. Show it

Aahh huku niliko sidhani kama utapaweza asee

Waliitangaza lini hiyo nafasi hebu naomba link au mawasiliano yao please

Yani sauli siku hizi sijui wanafeli wapi
 
Ujumbe muhimu sana kutoka kwa Sheikh Kipozeo 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa kama we huna kazi ,kwann usiombe hapo ABC ?unamwambia mwenzako ajaribu we hutaki?
 
MITHALI 30:8-9

⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.

⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.

HILO NDILO NENO LA MUNGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Umkabidhi Bwana njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya.
Zaburi 37:5

6 Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama adhuhuri.
Zaburi 37:6

7 Ukae kimya mbele za Bwana, Nawe umngojee kwa saburi; Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila.
Zaburi 37:7
 
Amen 🙏🙏
Barikiwa Mkuu
 
Sasa kama we huna kazi ,kwann usiombe hapo ABC ?unamwambia mwenzako ajaribu we hutaki?
Mimi sitaki kazi ya ukonda
Siwezi purukushani za barabarani.
Nimemwambia Kwa sababu nimeona ameuliza kuhusu hiyo kazi, na mimi niliona tangazo lao.

Kazi nayoiweza ni ubeki tatu maana shughuli zake nyingi ni nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…