Amen 🙏🙏MITHALI 30:8-9
⁸ Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.
⁹ Nisije nikashiba nikakukana, Nikasema, Bwana ni nani? Wala nisiwe maskini sana nikaiba, Na kulitaja bure jina la Mungu wangu.
HILO NDILO NENO LA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
sio zako ni za boss wako😂Hellow jua inaanza sasaiv mpaka Hellow night View attachment 2687481
Mimi sitaki kazi ya ukondaSasa kama we huna kazi ,kwann usiombe hapo ABC ?unamwambia mwenzako ajaribu we hutaki?
Si unitumieko aftatuHellow jua inaanza sasaiv mpaka Hellow night View attachment 2687481
Au mnataka hadi nife njaa ndo mje kutiririka msibani kutoa rambirambi, wakati nipo hai natafuta ajira nipate kula hamtaki kunipa.Acha utani Anne
Nyie[emoji23]Umeona eeh, analeta utani
Mimi kazi yoyote nafanyaUkweli ni kwamba hata upigike kiasi gani sio kila kazi yafaa kufanya.
Saint Anne na Jadda wanatuchora tu
Mdogo wangu ninatoa huduma ya kushona nguo na kuziba viraka
Tugawane kidogo chief tuanze siku vizuri pamojaHellow jua inaanza sasaiv mpaka Hellow night View attachment 2687481
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdogo wangu ninatoa huduma ya kushona nguo na kuziba viraka
Usininyime hiyo riziki naona suruali imetatuka kidogo hapo[emoji16]
Njoo sasa uniwekee kiraka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tugawane kidogo chief tuanze siku vizuri pamoja
Weka namba upate ya k vant kubwaTugawane kidogo chief tuanze siku vizuri pamoja
Uyo boss wangu sasa 🤣🤣 aha boss wangu ni wakalasio zako ni za boss wako😂
Aftatu tu unakutosha?Si unitumieko aftatu
Ukiamua kuniongezea nitafurahi zaidi 🤗Aftatu tu unakutosha?
Sawa Itapendeza zaid nikiongeza na ya kutolea au utatoa kwa lipa naambqUkiamua kuniongezea nitafurahi zaidi 🤗