Kumbe unampata🤣🤣Teacher Kimanda Mwalimu wa Sayansi Kimu na English. English ilikuwa mbovu kupindukia 🤣🤣🤣
Kumbe unampata🤣🤣Teacher Kimanda Mwalimu wa Sayansi Kimu na English. English ilikuwa mbovu kupindukia 🤣🤣🤣
Alikuwa anakubalika san, watu wakamwambia hakuna kuwasha gari, wakalisukuma mpaka uwanja wa zimani moto🤣 na bado hakushindaaa😂😂😂Wew ulitak kuwa chawa 🤣🤣🤣
Shukuru hakushinda😂😂😂
😀😀Siasa bhanaAlikuwa anakubalika san, watu wakamwambia hakuna kiwasha gari, wakalisukuma mpaka uwanja wa zimani moto🤣
Siasa ni umiza kichwa, matokeo yanapikwa nyuma ya pazia.😀😀Siasa bhana
😂😂😂Subir kidogo nitasema badaeSiasa ni umiza kichwa, matokeo yanapikwa nyuma ya pazia.
Ulitoka lini kwenye bukta la mzee wako😂
Marhaba 😂😂😂Sawa dada, mie mdogo wako hapa nakupa shikamoo 😀
Utapata lana wewe😂Marhaba 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Forty somethingUtapata lana wewe😂
Watu tuko forty something hapa
Eee hauamini🤣🤣🤣🤣Forty something
Doh beach au😀Bongo rahaa 😊View attachment 2686930
Inawezekana lakini sikatai😀Eee hauamini
Swimming pool..watoto wanajiachia sana😊Doh beach au😀
Kuna akina PMlipoanza kujiita J ndo mliharibu
Ahna furahisheni macho 😀Swimming pool..watoto wanajiachia sana😊
Balaaa ziiitoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋Bongo rahaa 😊View attachment 2686930
Nilimiss sana haya mambo😊Ahna furahisheni macho 😀
Mkuu acha kabisa bongo kumbe kuna vyuma balaaaBalaaa ziiitoooooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥😋
Alafu umekaa angle nzuri bia zinashuka tuuuu 😄Mkuu acha kabisa bongo kumbe kuna vyuma balaaa