Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20230713_171614.jpg
20230713_160213.jpg
 
Alikuwa anakubalika san, watu wakamwambia hakuna kuwasha gari, wakalisukuma mpaka uwanja wa zimani moto🤣 na bado hakushindaaa
Uncle wangu ananipaga stori Mrema alikujaga Shy hiyo 95 kwenye kampeni.Baada ya kupiga kampeni jioni wakajisogeza hoteli kuanza kugawana vyeo .Yeye alipewa kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga,kilichompata alikimbilia Dar kubangaiza.
 
Back
Top Bottom