Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

You slap it and watch it move in sloo mo utafikiri unafanya majaribio ya kuhakiki Newton's laws of gravity au warping of space-time katika Relativity ya mwamba Einstein 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Nachangamsha genge tu braza usinichukulie siriazi. At 76 hata macho hayaoni vizuri....
Huna lolote, ndo zako baba weee😅😎
 
Urudi Atown sasa upambane na baridi lako madam
U boss haikwepeki huo huna namna ya kuukimbia
Napokea Kwa jina la Yesu 😅

Ila A-town bana napenda vile Ile Hali ya hewa Huwa inafanya ngozi yangu inakua vzr km Niko ulayaaaa , vingine hapana!

Ila kuzuri
 
Kuingia kazini si mpaka uitwe mtumishi au unataka niibuke tu kwa akili zangu mwenyewe nianze kujiita nabii/mtume/mtumishi/mwalimu?

Toa mwongozo mtumishi 🙏🏿
Hapana
By default Kila mmoja ni muinjilisiti!
Ile tu kumshuhudia mtu ,mambo Mungu amekutendea umefanya kazi ya Bwana!
Tatizo watu wanafikiri mpk upande madhabahuni,uhubiri au uombee watu ,etc
Lkn sio hivyo!
 
You slap it and watch it move in sloo mo utafikiri unafanya majaribio ya kuhakiki Newton's laws of gravity au warping of space-time katika Relativity ya mwamba Einstein 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Nachangamsha genge tu braza usinichukulie siriazi. At 76 hata macho hayaoni vizuri....
mshamba_hachekwi
Come this way ....🤣🤣
 
Back
Top Bottom