Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Ya miatano lakini😂Ninunulie mdogo wangu
Leo bando liko chini utakua umenipiga tafu
Nikununulie namba ipi?
Ya miatano lakini😂Ninunulie mdogo wangu
Leo bando liko chini utakua umenipiga tafu
Mimi ninahitaji watu saba tu sasa nikisema muje wote mkija 1000 nawapeleka wapi?Majobless tumekuelewa mbona.
Tuje saa ngapi
Anadhalilisha gauni langu shos wakoWeee ni mwehu ujuee hahaha!
Hahahahaa sawaSawa tutaona utaweza ngapi😅
Ahahah nimechekaOfsa mwajiri huyo ujue
duh, ipoje hiiinterviewer
BalaaKumbe ni mtu mzito sana😁
Kwa kweliiNalipa fadhila kidogo
Hata ya miatano tu.
Siyo yeye anatupa kila siku,sisi hatujawahi kumpa.




Hakuna tracksuit nazipenda km Dark blue. Zinanipendezaa mnooo.Tracksuit ndo blue tupu sema vile vitambaa vya magauni vilikuwa vile vya chekechea
Dark blue nzuriHakuna tracksuit nazipenda km Dark blue. Zinanipendezaa mnooo.
Haya miaka 2 waliyokaa mashuleni, leo ndo wataona walichovunaa.






Nyingi nazitoa wapi?
Mbona unanibania riziki yangu mlongo



akishakupaa ipitilize kwangu.Mimi niko Dar jamani natafuta mtu aniunganishe kwenye kazi za ukonda wa Mabasi ya mikoani specifically mikoa hii Mbeya, Kilimanjaro, Tanga, Dodoma, Mwanza, Arusha, Iringa wakuu nimechoka kazi za uhausigeli![]()



dada hauko serious wee. Khaaah😅Balaa
Soon atakua boss wangu
Hujajua maisha bado mdogo wangu🤣 kuna wakati unatamani upate hata kazi ya u yaya na huipati.dada hauko serious wee. Khaaah
Mie sizitakiii blue ya hivyoo,Dark blue nzuri
Ila blue kama gauni yangu hiyo aisee tunakuwa kama wafungwa




Sio kwa huyo aliyetoa hiyo Comment, labda yeye ndo anatafuta mtu waa hivyo. Naelewa sana maisha.Hujajua maisha bado mdogo wangukuna wakati unatamani upate hata kazi ya u yaya na huipati.