Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mzee unajisema mwenyewe๐Ÿ˜‚

karibu chama cha wala mifupa
Naamini 100% kuwa hujanielewa vizuri kamanda wangu. Ungenielewa usingesema hivyo!

โžก๏ธโžก๏ธโžก๏ธ Tako linapaswa kuwa sifa ya ziada na siyo sifa-mama!

tapatalk_1420855154213.jpeg
 
Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Shimba ya Buyenze
 
Halafu watu bado wanaoa wanawake kwa kutumia kigezo cha tako. Inasikitisha sana! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2683936
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuuโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
 
Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn

Msukuma, miss youuuuโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!

Miss you too Mtumishi wa Bwana Aliye hai. Hongereni kwa semina nzuri iliyoisha jana. Endeleeni kutenda kazi shambani mwake bila kuchoka maana mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache...na muda uko ukingoni ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
 
Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavu.
Shimba ya Buyenze
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina. Nilikukumbuka pia nikaishia kujisemea I wish mpwa angekuwepo hapa ajionee hii sanaa ya kula miwa mirefuuu bila kuikata kata ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Screenshot_20230709_144317_Chrome.jpg
 
Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!

Miss you too Mtumishi wa Bwana Aliye hai. Hongereni kwa semina nzuri iliyoisha jana. Endeleeni kutenda kazi shambani mwake bila kuchoka maana mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache...na muda uko ukingoni ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐Ÿ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
 
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐Ÿ˜…kiroho ni both.....

Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
Kuingia kazini si mpaka uitwe mtumishi au unataka niibuke tu kwa akili zangu mwenyewe nianze kujiita nabii/mtume/mtumishi/mwalimu?

Toa mwongozo mtumishi ๐Ÿ™๐Ÿฟ
 
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina!

View attachment 2683961
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
...Ana tabia nzuri, ana hiyo miakili, hana tako, utaoa??

Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

FB_IMG_1688479770695.jpg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mkoa gani huo ? Maana kwenye Majiji yote hakuna mtu anayekula limua lirefu kama yupo Upcountry
 
Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2683968
Tako kama tako sio ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

View attachment 2683968
hichi ni nini mzee๐Ÿ˜‚

kuna mifupa na mifupa bana
 
Tako kama tako sio ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hata kama hana likubwa basi angalau kawepo japo ka kujishikizia shikizia ukika-slap kanatetema hata kama ni kwa mbali jamani kha! ๐Ÿ˜ณ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚๏ธ

Screenshot_20230707_123259_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom