Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,877
- 37,676
Kaka...jina la u boss Hilo Lina wenyewe....๐คฃMadam umemisika sana hapa
Uselfike boss mkubwa
Kwa ss nimetulia, nimemaliza seminar....
Kaka...jina la u boss Hilo Lina wenyewe....๐คฃMadam umemisika sana hapa
Uselfike boss mkubwa
๐๐Ubaya ubaya tuNaam! ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ๐ถ๐ฟโโ๏ธ
View attachment 2683948
View attachment 2683949
Nasikia ni sauce nzuri sanaYeah , raha kujipa mwenyewe
Kula vitamu .
Best Asian flavour .
Naamini 100% kuwa hujanielewa vizuri kamanda wangu. Ungenielewa usingesema hivyo!mzee unajisema mwenyewe๐
karibu chama cha wala mifupa
we mzee una siasa sana๐Naamini 100% kuwa hujanielewa vizuri kamanda wangu. Ungenielewa usingesema hivyo!
โก๏ธโก๏ธโก๏ธ Tako linapaswa kuwa sifa ya ziada na siyo sifa-mama!
View attachment 2683951
MmhHalafu watu bado wanaoa wanawake kwa kutumia kigezo cha tako. Inasikitisha sana! ๐๐๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
View attachment 2683936
Ulikuwepo semina iliyomalizika jana? Mbona nilikusaka sana na sikukuona?Kaka...jina la u boss Hilo Lina wenyewe....๐คฃ
Kwa ss nimetulia, nimemaliza seminar....
Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!Mmh
Both banaaa
Hawa nao waongo jmn
Msukuma, miss youuuuโ๏ธโ๏ธ
My one n only Teacher..
Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina. Nilikukumbuka pia nikaishia kujisemea I wish mpwa angekuwepo hapa ajionee hii sanaa ya kula miwa mirefuuu bila kuikata kata ๐๐๐Mpwa baada ya mazungumzo ya miwa Jana nikaenda dukani nikakuta sehemu wazee kama 10 hivi wanakula acha nicheke nikakumbuka ule Uzi ๐๐๐๐
Mmoja akaniita nikachukue nilicheka had walinishangaa,Kila nikiingalia ilivo mirefu Sina mbavu.
Shimba ya Buyenze
Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐ kiroho ni both.....Usiwabishie wanasayansi. Labda nawe uje na utafiti wako!
Miss you too Mtumishi wa Bwana Aliye hai. Hongereni kwa semina nzuri iliyoisha jana. Endeleeni kutenda kazi shambani mwake bila kuchoka maana mavuno ni mengi lakini wavunaji ni wachache...na muda uko ukingoni ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Kuingia kazini si mpaka uitwe mtumishi au unataka niibuke tu kwa akili zangu mwenyewe nianze kujiita nabii/mtume/mtumishi/mwalimu?Sawa,acha nisiwabishie wanasayansi๐ kiroho ni both.....
Asante sana msukuma....
Ni kwa Neema tu ya Mungu.....Hakika wataenda kazi ni wachache mnoooo
Na we uingine kazini,ushuhudie tu kwakweli....
๐๐๐๐Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa ๐๐๐๐Nimepita tu maeneo ya stendi hapa Misungwi kama nusu saa iliyopita nikamkuta yanki mmoja hivi wa makamo anayo mitatu mirefu mmoja ndiyo anapambana nao miwili iko chini basi mi mbavu sina!
View attachment 2683961
Asante Mtumishi...My one n only Teacher..
Nakosaje ss msukuma?
Tatizo Huwa husemi๐
August Dom kongamano 4 days tuko mule ndani!
Karibu!
Ila hii sio seminar ya kawaida!
...Ana tabia nzuri, ana hiyo miakili, hana tako, utaoa??
Mkoa gani huo ? Maana kwenye Majiji yote hakuna mtu anayekula limua lirefu kama yupo Upcountry๐๐๐๐Yani ulikuwa kama Mimi Jana aisee nilishindwa kujizuia Kila nikiwaangalia vimo vyao na Ile miwa Nacheka alieniita ndo aliharibu nilivoikaribia Sasa ๐๐๐๐
Tako kama tako sio ๐๐Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
View attachment 2683968
hichi ni nini mzee๐Kwa kweli hapana kamanda. Huyo nitakuachia wewe ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ
View attachment 2683968
Hata kama hana likubwa basi angalau kawepo japo ka kujishikizia shikizia ukika-slap kanatetema hata kama ni kwa mbali jamani kha! ๐ณ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธTako kama tako sio ๐๐