mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,315
- 72,083
😂😂 Sio huyo bro, utagonganisha magari mchana kweupeee.
mimi hata sielewi shemela unamaanisha nini😂😂😂 Sio huyo bro, utagonganisha magari mchana kweupeee.
Utamalizana na mwenye nyumba juu kwa juu.cocastic hii taaa nikiweka kwenye nyumba ya kupanga nikiondoka si naondoka nayo? Nataka nichange Aaliyyah Unasemaje nikopeshe basi leo nikaichukue hii taa View attachment 2682882



Huyo ni shem kwangumimi hata sielewi shemela unamaanisha nini😂
kama sio tinsley basi sijui tena
Ahahahah unataka ujenge wapi?
Good/expensive taste 👌🏾 ☺️Black bag 😍😍
Nimechekaaa had baas, mbna kotazi za gavoo siku hizi zimekarabatiwaa..Tunaokaa kwenye ma godauni ya kotas za serikali hizi tunaziona kwenye muvi tu lol huku ni vibatariii na mishumaa tyuuu!!



Nimemiss kigodoro udugu akeeee do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Utamalizana na mwenye nyumba juu kwa juu.[emoji2Wee3]
sina mtu mimi, rejea👇🏾Huyo ni shem kwangu
Mimi Nimeuliza shemela.
Hujui tofauti ya shemela na shem?? 🤣
Utanuniwa huko shauri yako
Kwahio nijenge Kishumundu Songea huko then nitokee huko kuja kazini Nyakibimbirii?!
Acheni kukariri maishaaa!



songea kumekosea nn uduguuu?? Nna kiwanjaa cha kuweka pagale langu hapoo. Mnanipa vawulensiiiiiiiKumbe ulielewa ukaona ulete usumbufu bure😂 utatoa watu rohosina mtu mimi, rejea👇🏾
kisima kikavu hakikati kiu😂
Washatuma kwaniTupo tinangojea hapa
ndo nimeelewa saivi kusema kweli😂Kumbe ulielewa ukaona ulete usumbufu bure😂 utatoa watu roho
Haya ni mashamba ya Miwa Mjukuu, uvunaji wake ni tofauti kidogo na mazao mengine 🤗Hapo ni kuvuna na kupiga kabisaaa,![]()
Kablaa ya kigodorooo, du the nidifuluuuuu kwan, hivi si unajua lakini?? Emu 7bishaaaaaa.Nimemiss kigodoro udugu akeeee do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Basi Msalimie sana shemela.ndo nimeelewa saivi kusema kweli😂
unalazimisha sasa😂Basi Msalimie sana shemela.
Pia naomba ukimuona shem wangu Tinsley mpe salamu pia.
Miwa ipii?? Mbna km mpunga au sijaona vizuri??Haya ni mashamba ya Miwa Mjukuu, uvunaji wake ni tofauti kidogo na mazao mengine![]()
Ngoja nitoke Kanisani 🤪Ndyoo nitumiee bas babuu nawee, nakuja chapuuu.
Km sio hivyoo, nitumiee nkatumiee weekend, nasubiri.