Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,999
- 48,512
Mm sijaona lakin unaogopa kitambi dear😀
Mm sijaona lakin unaogopa kitambi dear😀
Ahahah utanichangia? 160000 unanichangia bei gani?kama una dining room pia hua zinapendezea
unayo dining room??Ahahah utanichangia? 160000 unanichangia bei gani?
SanaaMm sijaona lakin unaogopa kitambi dear😀
Kula mwaya utakondaSanaa
Hebu muache mwenzio🤣unayo dining room??
Ipo tena kubwa sanaunayo dining room??
Ananikatisha tamaa mKula mwaya utakonda
sio kwa ubaya😂Hebu muache mwenzio🤣
Wew kanunue tu huyu atakufanya ughairi Bure😀Ananikatisha tamaa m
kumbe we wa kishuaIpo tena kubwa sana
Wakati nishanunua kibubu cha kuwekezaWew kanunue tu huyu atakufanya ughairi Bure😀
Mimi mswhili sanakumbe we wa kishua
Black bag 😍😍Njoo uchague zawadi Depal 😊View attachment 2682654
Tunaokaa kwenye ma godauni ya kotas za serikali hizi tunaziona kwenye muvi tu lol huku ni vibatariii na mishumaa tyuuu🤠🤠🤠!!cocastic hii taaa nikiweka kwenye nyumba ya kupanga nikiondoka si naondoka nayo? Nataka nichange Aaliyyah Unasemaje nikopeshe basi leo nikaichukue hii taa View attachment 2682882
Ahahahah tufanye tujenge nyumba zetu ase kuna vitu vizuri sanaTunaokaa kwenye ma godauni ya kotas za serikali hizi tunaziona kwenye muvi tu lol huku ni vibatariii na mishumaa tyuuu🤠🤠🤠!!
Nakula mama😚Kula mwaya utakonda
Hata nyumba ya kupanga inayoeleweka unaweka vizuri kabisa.Ahahahah tufanye tujenge nyumba zetu ase kuna vitu vizuri sana