Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha!. Sikuiwaza.

Nakuona bado upo vema sana kwenye mapishi. Umeacha tu kushusha kwenye jukwaa la mapishi.

Enjoy.
It's been a while since I was in the kitchen!🥴 ....pilau nimekula kwa hisani!😊
20230707_205152.jpg


Nimekua nakula barabarani alafu kazi nyingi hata muda wakupost sipati!!😵😵 Ila ndio narudi taratibu....
 
Thank you ankoo akeee nawe pia happy 7/7 deiiii🤩🤩


Namie nitafutie kama hiko ankoo ni cheupee kisafi ajee!

Barikiwa sanaaa ankoo akeee na uwe na wakati mwema ankaliii!!
😍

Sema Ukinionea Bantu Lady Lovelovie Kapachino National Anthem waambie nimewamiso hadi naumwaaa😘😘!!
Baada ya frester kumuachia
manyoya chino pale oilcom.

Sasa Yuko itobo bukene huku walau akiji fariji fariji na wahabeshi wa uku kupunguza punguza japo machungu.
 
Back
Top Bottom